Akili za Hersi

Akili za Hersi

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
LEO asubuhi ndio nimegundua kuwa ile Yanga ya Nasreddine Nabi ilikuwa hatari ndani ya Uwanja,Yanga ya Gamondi pia ni hatari lakini hii Yanga chini ya ENG HERSI SAID ni hatari zaidi ndani na nje ya Uwanja.

AKILI za Eng Hersi na pesa za GSM inaonesha inaweza kwenda kujitengenezea ufalme wa mda mrefu ndani ya Tanzania kama wengine hawatashtuka mapema na ikafanya makubwa nje ya Tanzania ambayo yataiduwaza Afrika.

NILIKUWA namsikiliza George JOB akizungumzia sababu alizoambiwa na Bwana Hersi juu ya kuachwa kwa wachezaji wawili,Djuma Shaban na Yanick Bangala akisema ni sababu ya mipango yake (Hersi Said) kuhusu Msimu wa 2024/25.Yaani hawajaachwa kwa sababu ya Msimu huu,no bali Msimu ujao.

WAKATI watu wengi wakishangaa kwanini Wachezaji hao ambao walikuwa wakiamini wangeisaidia Yanga Msimu huu,yeye alikuwa amewaza mbele zaidi ya msimu huu.Aliwaza na kufanya maamuzi hayo tangu mwezi Januari.

ENG HERSI aliamini huenda nyota hao wangeweza kuendelea na Yanga msimu huu ila wasingeonesha kiwango bora kama kile walichoonesha msimu wa 2021/22.Nini cha kufanya? Ni kuandaa Kikosi kingine wakati bado mastaa wengi waliopo wapo kwenye ubora.

KIPINDI ambacho viongozi wa timu zingine wakiwaza juu ya msimu huu,yeye tayari anachora ramani ya namna ya kuwa na timu bora kwa misimu miwili mbele zaidi. Alijua wazi kwa kikosi walichonacho,uwezo wa kufanya vyema msimu huu wangekuwa nao ila ni vipi baada ya msimu huu kuisha?

NADHANI viongozi wa timu zingine wanapaswa kuchangamsha akili zao maradufu ili waweze kushindana na Yanga nje na ndani ya uwanja na hata kuizidi akili ya Eng Hersi iliyochanganyikana na Pesa za GSM.

INAONYESHA kwamba hata msimu ujao huenda wakaendelea kuwa bora zaidi kwa namna wanavyozipangilia strategies zao. Wasipoamka mapema basi tusubiri kuwaona Wananchi wakiendelea kutamba tu.

Cc: C&P

#SisiNiMashahidiTu
#hallaywsmm🇹🇿
 
LEO asubuhi ndio nimegundua kuwa ile Yanga ya Nasreddine Nabi ilikuwa hatari ndani ya Uwanja,Yanga ya Gamondi pia ni hatari lakini hii Yanga chini ya ENG HERSI SAID ni hatari zaidi ndani na nje ya Uwanja.

AKILI za Eng Hersi na pesa za GSM inaonesha inaweza kwenda kujitengenezea ufalme wa mda mrefu ndani ya Tanzania kama wengine hawatashtuka mapema na ikafanya makubwa nje ya Tanzania ambayo yataiduwaza Afrika.

NILIKUWA namsikiliza George JOB akizungumzia sababu alizoambiwa na Bwana Hersi juu ya kuachwa kwa wachezaji wawili,Djuma Shaban na Yanick Bangala akisema ni sababu ya mipango yake (Hersi Said) kuhusu Msimu wa 2024/25.Yaani hawajaachwa kwa sababu ya Msimu huu,no bali Msimu ujao.

WAKATI watu wengi wakishangaa kwanini Wachezaji hao ambao walikuwa wakiamini wangeisaidia Yanga Msimu huu,yeye alikuwa amewaza mbele zaidi ya msimu huu.Aliwaza na kufanya maamuzi hayo tangu mwezi Januari.

ENG HERSI aliamini huenda nyota hao wangeweza kuendelea na Yanga msimu huu ila wasingeonesha kiwango bora kama kile walichoonesha msimu wa 2021/22.Nini cha kufanya? Ni kuandaa Kikosi kingine wakati bado mastaa wengi waliopo wapo kwenye ubora.

KIPINDI ambacho viongozi wa timu zingine wakiwaza juu ya msimu huu,yeye tayari anachora ramani ya namna ya kuwa na timu bora kwa misimu miwili mbele zaidi. Alijua wazi kwa kikosi walichonacho,uwezo wa kufanya vyema msimu huu wangekuwa nao ila ni vipi baada ya msimu huu kuisha?

NADHANI viongozi wa timu zingine wanapaswa kuchangamsha akili zao maradufu ili waweze kushindana na Yanga nje na ndani ya uwanja na hata kuizidi akili ya Eng Hersi iliyochanganyikana na Pesa za GSM.

INAONYESHA kwamba hata msimu ujao huenda wakaendelea kuwa bora zaidi kwa namna wanavyozipangilia strategies zao. Wasipoamka mapema basi tusubiri kuwaona Wananchi wakiendelea kutamba tu.

Cc: C&P

#SisiNiMashahidiTu
#hallaywsmm[emoji1241]
Mh
 
LEO asubuhi ndio nimegundua kuwa ile Yanga ya Nasreddine Nabi ilikuwa hatari ndani ya Uwanja,Yanga ya Gamondi pia ni hatari lakini hii Yanga chini ya ENG HERSI SAID ni hatari zaidi ndani na nje ya Uwanja.

AKILI za Eng Hersi na pesa za GSM inaonesha inaweza kwenda kujitengenezea ufalme wa mda mrefu ndani ya Tanzania kama wengine hawatashtuka mapema na ikafanya makubwa nje ya Tanzania ambayo yataiduwaza Afrika.

NILIKUWA namsikiliza George JOB akizungumzia sababu alizoambiwa na Bwana Hersi juu ya kuachwa kwa wachezaji wawili,Djuma Shaban na Yanick Bangala akisema ni sababu ya mipango yake (Hersi Said) kuhusu Msimu wa 2024/25.Yaani hawajaachwa kwa sababu ya Msimu huu,no bali Msimu ujao.

WAKATI watu wengi wakishangaa kwanini Wachezaji hao ambao walikuwa wakiamini wangeisaidia Yanga Msimu huu,yeye alikuwa amewaza mbele zaidi ya msimu huu.Aliwaza na kufanya maamuzi hayo tangu mwezi Januari.

ENG HERSI aliamini huenda nyota hao wangeweza kuendelea na Yanga msimu huu ila wasingeonesha kiwango bora kama kile walichoonesha msimu wa 2021/22.Nini cha kufanya? Ni kuandaa Kikosi kingine wakati bado mastaa wengi waliopo wapo kwenye ubora.

KIPINDI ambacho viongozi wa timu zingine wakiwaza juu ya msimu huu,yeye tayari anachora ramani ya namna ya kuwa na timu bora kwa misimu miwili mbele zaidi. Alijua wazi kwa kikosi walichonacho,uwezo wa kufanya vyema msimu huu wangekuwa nao ila ni vipi baada ya msimu huu kuisha?

NADHANI viongozi wa timu zingine wanapaswa kuchangamsha akili zao maradufu ili waweze kushindana na Yanga nje na ndani ya uwanja na hata kuizidi akili ya Eng Hersi iliyochanganyikana na Pesa za GSM.

INAONYESHA kwamba hata msimu ujao huenda wakaendelea kuwa bora zaidi kwa namna wanavyozipangilia strategies zao. Wasipoamka mapema basi tusubiri kuwaona Wananchi wakiendelea kutamba tu.

Cc: C&P

#SisiNiMashahidiTu
#hallaywsmm🇹🇿
Naunga mkono hoja
 
Wana kamsemo kao utawasikia "Yanga
Wenye akili ni wawili tu"
Tangu Manara awafundishe hilo somo na Manara mwenyewe kuwakacha, wao bado wamelishikilia hilohilo. Hawana wanachojua kuhusu Yanga zaidi ya somo la Manara
😃😃 Halafu kuna yule kijana wa Chifu Mangungu CABO DELGADO unamkuta anaweka na ile picha yake ya Haji Manara akiwa ameshika kichwa!! Basi anajiona mjaanja!! Kumbe ni Mbumbumbu tu!!
 
Engineer anajitahidi sana sana na Mimi namsifu kuwa ni KIONGOZI Bora sana.

1. Engineer nae amekumbana na Changamoto na Migogoro kadhaa AMBAYO inafika Hadi FIFA

I. Luke Emry.
ii. Gael Bigirimana.
III. FEISAL salum.
IV. Yannick Bangala.
V. JUMA Shaban.

2. KUSHINDWA Kusajili wachezaji wazuri
I.Gael Bihiriman.
ii. Eritiel Makambi.
iii. Yakuba sogne.
IV. BENARD Morison.
V. Tuisila Kisinda.

(Hafidh Konkon.)
(Gift Fred. )

Engineer ana Makosa sana naye kama Binadamu
 
K
😃😃 Halafu kuna yule kijana wa Chifu Mangungu CABO DELGADO unamkuta anaweka na ile picha yake ya Haji Manara akiwa ameshika kichwa!! Basi anajiona mjaanja!! Kumbe ni Mbumbumbu tu!!
Karne hii bado wanaongozwa na Ukoo wa Chief Mangungo😆. Wenyewe walimchagua kwa ajili ya jina wakijidai wanaenzi viongozi wa Jadi wa zama zile.
 
Back
Top Bottom