Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Anaumwa mafi ya kuku huko Lamba2.Foseli anasema Hersi aondoke yeye arudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaumwa mafi ya kuku huko Lamba2.Foseli anasema Hersi aondoke yeye arudi
Hao wachezaji watatu hawakwenda kushtaki FIFA, Foseli aliishia kuchangisha watu na hela kaibwenga. Yacouba na Bernard si wabaya ila ni injuries na utoto tundu respectively. Katika soka gamble iko kwenye usajili na sub, mifano iko mingi tu. Mchezaji mmoja anakuwa mtani timu fulani akienda kwingine bonge la flop au mchezaji unayeamini atakupa matokeo unamwingiza sub anakuwa mzururaji uwanjani. Sometimes tuwage wapole.Engineer anajitahidi sana sana na Mimi namsifu kuwa ni KIONGOZI Bora sana.
1. Engineer nae amekumbana na Changamoto na Migogoro kadhaa AMBAYO inafika Hadi FIFA
I. Luke Emry.
ii. Gael Bigirimana.
III. FEISAL salum.
IV. Yannick Bangala.
V. JUMA Shaban.
2. KUSHINDWA Kusajili wachezaji wazuri
I.Gael Bihiriman.
ii. Eritiel Makambi.
iii. Yakuba sogne.
IV. BENARD Morison.
V. Tuisila Kisinda.
(Hafidh Konkon.)
(Gift Fred. )
Engineer ana Makosa sana naye kama Binadamu