Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Sukuma Gang.Mbona hakuna ushahidi unaoshabihiana na ulichokiongea?
Tuwekee clip hapa ya hicho unachokishutumu, otherwise Paw afanye kazi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma Gang.Mbona hakuna ushahidi unaoshabihiana na ulichokiongea?
Tuwekee clip hapa ya hicho unachokishutumu, otherwise Paw afanye kazi yake.
Magufuli ni rais aliye shindwa kulinda usalama wa raia wake. Watu wanapigwa risasi mchana kweupe na mpaka leo hakuna aliye kamatwa. Failure.Ila magufuli ki ukweli hawezi kusahaulika aisee, mpaka sasa kila mtu anatamani angelikuwepo
Maana si kwa kutoisha story zake mitandaoni,
Iwe ni stories za kijinga kama hii ama nzuri za jinsi alivyotenda kwa wema, hizi zote ni ishara za kumiss uwepo wake
JPM amenifundisha ujasiri wa kusimamia ninachokiamiani mpaka mwisho, alichokiamini ikitokea mtu anamfolea, alikuwa tayari kwa mapambano naye na mengi aliyoyaamini yamekuwa msaada kwa taifa letu
Kwa majina yao, nitajie walau 6 tu walitandikwa risasi mchana mchanaMagufuli ni rais aliye shindwa kulinda usalama wa raia wake. Watu wanapigwa risasi mchana kweupe na mpaka leo hakuna aliye kamatwa. Failure.
Unaweza kusikia huyu ni msomi wa chuo kikuu. Na kama akili zenu zipo hivi, bora pesa zangu niongeze kununua ng'ombe kuliko kusomesha ng'ombe.Unaandika uharo wa kirofa namna hii alafu ukitoka hapo unaenda kupanda ndege na madaraja ya Magufuli
Ushahidi upi kwani wewe ulikuwa hujazaliwa wanakti anayaongea?Mbona hakuna ushahidi unaoshabihiana na ulichokiongea?
Tuwekee clip hapa ya hicho unachokishutumu, otherwise Paw afanye kazi yake.
Dikteta wa Ujerumani wakati wa vita ya dunia Hitler yupo ktk vitabu vya historia diniani, hatasahaulika kamwe sawa na magufuliIla magufuli ki ukweli hawezi kusahaulika aisee, mpaka sasa kila mtu anatamani angelikuwepo
Maana si kwa kutoisha story zake mitandaoni,
Iwe ni stories za kijinga kama hii ama nzuri za jinsi alivyotenda kwa wema, hizi zote ni ishara za kumiss uwepo wake
JPM amenifundisha ujasiri wa kusimamia ninachokiamiani mpaka mwisho, alichokiamini ikitokea mtu anamfolea, alikuwa tayari kwa mapambano naye na mengi aliyoyaamini yamekuwa msaada kwa taifa letu
We msukuma ndo mpuuzi tena bwege unaulizwa unataka ushahidi upi unamtukanaNi upuuzi tupu ulioandika mkuu
Hapo tulikuwa na hasara tupuSalaam Wakuu
Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.
Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.
Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.
Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.
Pia, soma:
1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais
2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Mbowe hawezi kuomba msamaha na wakati hana kosa loloteMBOWE hajaomba msamaha wala sio mwoga kama Makerubi wa CCM Chama cha Mazezeta
Magufuli aliiba kwa njia ya kununua ndege we unashangilia kama zuzuUnaandika uharo wa kirofa namna hii alafu ukitoka hapo unaenda kupanda ndege na madaraja ya Magufuli
Mleta mada kama sio kichaa ni mwendawazimuSalaam Wakuu
Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.
Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.
Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.
Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.
Pia, soma:
1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais
2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Mzimu wa Magufuli bado unawatesaSalaam Wakuu
Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.
Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.
Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.
Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.
Pia, soma:
1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais
2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Magufuli alikua Mwendawazimu mkuuNi upuuzi tupu ulioandika mkuu
Yule mrundi Mhamiaji haramu alikuwa sheitwani wa hovyo kabisa, Tunamshukuru Mungu kwa kusitisha uhai wake mapema Ili watanzania wengi wanusurike!Salaam Wakuu
Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.
Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.
Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.
Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.
Pia, soma:
1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais
2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam