Akili za Magufuli: Alidai Mwanza ni Jiji na Dar es Salaam ni Mkoa

Akili za Magufuli: Alidai Mwanza ni Jiji na Dar es Salaam ni Mkoa

Ila magufuli ki ukweli hawezi kusahaulika aisee, mpaka sasa kila mtu anatamani angelikuwepo

Maana si kwa kutoisha story zake mitandaoni,

Iwe ni stories za kijinga kama hii ama nzuri za jinsi alivyotenda kwa wema, hizi zote ni ishara za kumiss uwepo wake

JPM amenifundisha ujasiri wa kusimamia ninachokiamiani mpaka mwisho, alichokiamini ikitokea mtu anamfolea, alikuwa tayari kwa mapambano naye na mengi aliyoyaamini yamekuwa msaada kwa taifa letu
Magufuli ni rais aliye shindwa kulinda usalama wa raia wake. Watu wanapigwa risasi mchana kweupe na mpaka leo hakuna aliye kamatwa. Failure.
 
Tanzania ilikuwa inaenda kuwa failure state chini ya magu.

Sugu mbunge wangu aliwahi kusema magufuri anaongoza Kwa mzuka, dah pale bungeni mama jenister mhagama alipambana kumtetea sana.

Kifupi tulikuwa na raisi wa hovyo hakuwa hata na akili.
20220215_095456.jpg
1643375326817.jpg
 

Attachments

  • 1645115069069.jpg
    1645115069069.jpg
    48.1 KB · Views: 11
Unaandika uharo wa kirofa namna hii alafu ukitoka hapo unaenda kupanda ndege na madaraja ya Magufuli
Unaweza kusikia huyu ni msomi wa chuo kikuu. Na kama akili zenu zipo hivi, bora pesa zangu niongeze kununua ng'ombe kuliko kusomesha ng'ombe.
 
Mbona hakuna ushahidi unaoshabihiana na ulichokiongea?

Tuwekee clip hapa ya hicho unachokishutumu, otherwise Paw afanye kazi yake.
Ushahidi upi kwani wewe ulikuwa hujazaliwa wanakti anayaongea?

Ni kweli alivunja jiji la dar akasrma jiji ni ilala pekee, na kuwa watu wa airport hope kisesa wasivunjiwe kwa kuwa ndo walompa kura nyingi
 
Ila magufuli ki ukweli hawezi kusahaulika aisee, mpaka sasa kila mtu anatamani angelikuwepo

Maana si kwa kutoisha story zake mitandaoni,

Iwe ni stories za kijinga kama hii ama nzuri za jinsi alivyotenda kwa wema, hizi zote ni ishara za kumiss uwepo wake

JPM amenifundisha ujasiri wa kusimamia ninachokiamiani mpaka mwisho, alichokiamini ikitokea mtu anamfolea, alikuwa tayari kwa mapambano naye na mengi aliyoyaamini yamekuwa msaada kwa taifa letu
Dikteta wa Ujerumani wakati wa vita ya dunia Hitler yupo ktk vitabu vya historia diniani, hatasahaulika kamwe sawa na magufuli
 
Salaam Wakuu

Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.

Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.

Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.

Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.

Pia, soma:

1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais

2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Hapo tulikuwa na hasara tupu
 
Salaam Wakuu

Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.

Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.

Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.

Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.

Pia, soma:

1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais

2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Mleta mada kama sio kichaa ni mwendawazimu
 
Salaam Wakuu

Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.

Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.

Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.

Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.

Pia, soma:

1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais

2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Mzimu wa Magufuli bado unawatesa
It will take you centuries to get rid of it
 
Salaam Wakuu

Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.

Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.

Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.

Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.

Pia, soma:

1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais

2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Yule mrundi Mhamiaji haramu alikuwa sheitwani wa hovyo kabisa, Tunamshukuru Mungu kwa kusitisha uhai wake mapema Ili watanzania wengi wanusurike!
 
Back
Top Bottom