Mwalimu Kashasha kaongea ukweli mtupu. Dkt Msola sijui elimu yake inamsaidia nini. Yaani mtu msomi mzima lakini unashindwa kupanga mambo kisomi unaishia kusikiliza maneno ya mashabiki halafu unafukuza kocha unaanza na upya.
Halafu msimu mpya ukianza unaacha wachezaji saba halafu unasajili wapya.