Akili za mashabiki wa timu ya Yanga na viongozi wao zinaendana

uamuzi wa yanga kumfukuza kaze umefanywa kihuni na kwa mawazo ya wapumbavu watupu
Pressure ya mashabiki wachache ambao waliaminishwa kuwa ubingwa mapema tu.

Lakini Kaze ni kafara, tatizo litaanzia pale Airport
 
Kila nikiwaangalia hawa vidimbwi nawahurumia sana,wako kama misukule vile


 
Ni kweli Dkt Msola yupo yupo tu kama msukule, lkn cha pili team haina fedha hivyo imebaki inategemea sana maamuzi ya GSM mwenyekiti amebaki jina ila mwenyekiti mwenye nguvu ni GSM manake ndio mwenye pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…