Akili za mjinga: kwenye huu msiba wa taifa sijaona watu wakipewa msosi na hamna complain, huku kwetu swahili bila menu msiba unabaki peke yako

Akili za mjinga: kwenye huu msiba wa taifa sijaona watu wakipewa msosi na hamna complain, huku kwetu swahili bila menu msiba unabaki peke yako

Angezikwa kesho tar.27/3 ili Leo liwe zoezi la kula tuu. Haiwezekani msiba mkubwa vile watu washindishwe njaa.
In short wananchi tumekwazika na hats mtetezi wetu huko aliko hajafurahia kabsa suala hilo.

Mkuu kulisha watu wotw wale huoni lingekuwa zoezi lingine na lingekuka muda sana na siajabu mpaka saa tatu usiku msiba ungekuwa bado unaendelea.
 
Ndugu zangu, huu msiba wa kitaifa mbona sijaona chakula chochote na wala sijaona watu wakiuliza wala kucomplain
ila huku kwetu ikitokea msiba asubuhi tu utasikia baba fulani chai vipi mara harakati za manunuzi ya mchele, mara mafuta hii yote ni ili watu wapate menu wakiwa wanaomboleza Ahsanteni viongozi wa kitaifa kwa muongozo nadhani itakua ngumu mno kwa watu kuuliza chakula chochote msibani.

Sasa aje mtu aulize chakula msibani aone
waache tu ndugu na wew utafiwa unawaacha kapa
 
Ndugu zangu, huu msiba wa kitaifa mbona sijaona chakula chochote na wala sijaona watu wakiuliza wala kucomplain
ila huku kwetu ikitokea msiba asubuhi tu utasikia baba fulani chai vipi mara harakati za manunuzi ya mchele, mara mafuta hii yote ni ili watu wapate menu wakiwa wanaomboleza Ahsanteni viongozi wa kitaifa kwa muongozo nadhani itakua ngumu mno kwa watu kuuliza chakula chochote msibani.

Sasa aje mtu aulize chakula msibani aone
Umeshindwa kuelewa kuwa hapo siyo kwenu uswekeni?
 
Ndugu zangu, huu msiba wa kitaifa mbona sijaona chakula chochote na wala sijaona watu wakiuliza wala kucomplain
ila huku kwetu ikitokea msiba asubuhi tu utasikia baba fulani chai vipi mara harakati za manunuzi ya mchele, mara mafuta hii yote ni ili watu wapate menu wakiwa wanaomboleza.

Ahsanteni viongozi wa kitaifa kwa muongozo nadhani itakua ngumu mno kwa watu kuuliza chakula chochote msibani.

Sasa aje mtu aulize chakula msibani aone
Hiyo familia wachoyo sana.
 
Back
Top Bottom