Akili za mjinga: kwenye huu msiba wa taifa sijaona watu wakipewa msosi na hamna complain, huku kwetu swahili bila menu msiba unabaki peke yako

Angezikwa kesho tar.27/3 ili Leo liwe zoezi la kula tuu. Haiwezekani msiba mkubwa vile watu washindishwe njaa.
In short wananchi tumekwazika na hats mtetezi wetu huko aliko hajafurahia kabsa suala hilo.

Mkuu kulisha watu wotw wale huoni lingekuwa zoezi lingine na lingekuka muda sana na siajabu mpaka saa tatu usiku msiba ungekuwa bado unaendelea.
 
waache tu ndugu na wew utafiwa unawaacha kapa
 
Umeshindwa kuelewa kuwa hapo siyo kwenu uswekeni?
 
Hiyo familia wachoyo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…