Akili za umasikini: Bajeti ya Elimu $5B, lakini bajeti ya Kilimo in $500M

Akili za umasikini: Bajeti ya Elimu $5B, lakini bajeti ya Kilimo in $500M

Lakini imeshindwa kumalizia kipande cha Naivasha hadi Malaba, akili hizi zinapatikana Kibera pekee
Itashindwaje na wakati sisi hyo hela tumeamua tuipeleke kw elimu[emoji23][emoji23]
Elimu ni mhimu sana katika nchi, kwhyo usitegemee tuwekeze hela ndogo ki hvo
 
Mbona kwenu mlijengewa pesa za mikopo ilhali pesa mnazo? Ndio maana mnatumia mitungi ya mbege na hamuwez hata kuongea

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Capitalist lazima akope
Au wewe ni wale benki una milioni halafu unataka kuanza biashara ya laki saba, kwhyo hela yote utaenda kuitoa kutoka kw account yako kisa una million benki[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom