Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Atapata wapi kula vyakula vya lishe ya kuongeza nguvu za kiume? Wewe unamjuwa anakula kwa siku mara ngapi? Karibu Asilimia 88% ya Wa- Tanzania wanakula kwa siku mara 2 je nikimwambia ale vyakula vya kuongeza nguvu za kiume atapata wapi pesa za kununuwa hivyo vyakula? Je wewe unakula kwa siku mara ngapi?Badala ya kumshauri afanye mazoezi haswa kukimbia na apate lishe nzuri ya vyakula haswa vya kutia nguvu mwilini iliaondokane na hilo tatizo we unmwambia akatumie dawa. Vijijini watu hawatumii dawa na mzigo wanapiga hadi mwanamke anaridhika mwenyewe mijini digitali na magali yenu kisa kuna madawa ya kuongeza nguvu.