bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Mara nyingi kwenye familia zetu unakuta baba na mama wanaendelea kulala na mtoto chumba kimoja hata akifikisha age ya miaka 2!je, usiku inapotokea mtoto kashtuka usingizini akaona baba anafanya tendo la ndoa na mama, hii ni sawa/haki?
NOTE: Kuna jamaa alikuwa anampa mtoto vidonge vya pilton ili alale usingizi mzito, na tendo la ndoa lipate kuchukua nafasi yake!je hii ni sawa/haki?
NOTE: Kuna jamaa alikuwa anampa mtoto vidonge vya pilton ili alale usingizi mzito, na tendo la ndoa lipate kuchukua nafasi yake!je hii ni sawa/haki?