Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Hapo juu twende moja kwa moja kwenye mada.
Utakuta asubuhi sisi akina baba ukitaka kumpa pesa za matumizi mkeo.
Unampa ndani chumbani, mama akitoka pale wewe hapo baba aupo ushaenda kazini huku mama kaivisha chai anawaita "watoto" wanangu njooni mnywe chai nimewaandalia, baba ukitaka kutoa hela za nguo watoto wanunuliwe pia utatoa chumbani kumpa mkeo, mke atatoka pale chumbani wakati wewe umeenda kazini, mama nae ataenda dukani kuwanunulia watoto nguo za sikukuu anawaita "watoto" wanangu njooni mpime kama zinawatosha vizuri nimewanunulia nguo za sikukuu, wakati wa kulipa pesa ya usafiri was basi la shule hivyo hivyo.
Utampa ndani chumbani pesa akalipie ada ya usafiri wa shule.
Atachukua watoto na kuwaambia wanangu twendeni nikakulipieni ada ya basi la shule, sasa pale mtoto anaweka kumbukumbu na watoto kwa kutunza kumbukumbu ni hodari sana.
Kesho na kesho kutwa wanaona huduma zote alikuwa anatoa mama na wala sio wewe baba... Tunatakiwa tuwe makini tunapotoa pesa za matumizi majumbani kwetu.
Akina baba wenzangu hili tusinyanyapaliwe na watoto wetu wa kuwazaa!
Hapo juu twende moja kwa moja kwenye mada.
Utakuta asubuhi sisi akina baba ukitaka kumpa pesa za matumizi mkeo.
Unampa ndani chumbani, mama akitoka pale wewe hapo baba aupo ushaenda kazini huku mama kaivisha chai anawaita "watoto" wanangu njooni mnywe chai nimewaandalia, baba ukitaka kutoa hela za nguo watoto wanunuliwe pia utatoa chumbani kumpa mkeo, mke atatoka pale chumbani wakati wewe umeenda kazini, mama nae ataenda dukani kuwanunulia watoto nguo za sikukuu anawaita "watoto" wanangu njooni mpime kama zinawatosha vizuri nimewanunulia nguo za sikukuu, wakati wa kulipa pesa ya usafiri was basi la shule hivyo hivyo.
Utampa ndani chumbani pesa akalipie ada ya usafiri wa shule.
Atachukua watoto na kuwaambia wanangu twendeni nikakulipieni ada ya basi la shule, sasa pale mtoto anaweka kumbukumbu na watoto kwa kutunza kumbukumbu ni hodari sana.
Kesho na kesho kutwa wanaona huduma zote alikuwa anatoa mama na wala sio wewe baba... Tunatakiwa tuwe makini tunapotoa pesa za matumizi majumbani kwetu.
Akina baba wenzangu hili tusinyanyapaliwe na watoto wetu wa kuwazaa!