Akina dada acheni kukaa kwa kubinuka kwenye bodaboda, ni hatari kwa afya

Sasa vibration kwenye 'kidole kidogo' ataipataje vizuri hasipojibinua?
 
Kwanza una Elimu gani?maana ulichoandika hapa,tafadhali pereka kule Facebook kwa watoto wwnzio
 
unasumbua minara ya watu line wametoa
 
Hii ni thread kweli?Melo come and pick up ur members
 

Kwa hiyo sa ivi anatembeaje[emoji2][emoji2]
 
Kwanza una Elimu gani?maana ulichoandika hapa,tafadhali pereka kule Facebook kwa watoto wwnzio

jf ndio wamejaa watoto wa shule. tweeter wamejaa chadema istagram wamejaa wasanii, mtandao uliobaki mzuri ni face book
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…