Akina dada acheni kutuzeesha

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,355
Reaction score
14,408
Yaani unakutana na mtoto mzuriiiiiii !!!!, Halafu unasikia anakusalimia eti "SHIKAMOO ",Shit !!!!!!, Alaaah !!!, Mwingine utamsikia "SHIKAMOO BABA ",Wee Tafadhari, nilikuzaa lini ???, Mbona tunazeeshana Jamani ???!!!!. Salamu nzuri ni "Hbr za saa hizi !!!!! ", au "Mambo Kaka ",Hapo unasikia na Mapigo ya Moyo yanaenda mbio, Jamani Watoto wazuri msitusalimie salamu za kizee na kizamani.Watoto wote wa kike Mamboooo !!!!!. Nimemaliza.
 
Sawa Kijana nadhani wamekusikia
 
Itikia tu,siku hizi wanapenda wanaoitikia shikamoo, unajikosesha fursa
 
maranyingi ukimuona mtoto wakike rika lako anakusalimia shkamoo ujue anakuanzishia njia ya kuanza kumtongoza maana anajua utaanza kwa kumwambia UNATAKA KUNINYIMA NINI kwa hiyo shkamoo yako........ kwahiyo ukisalimiwa ujue umerahisishiwa kaziii
 
Shikamoo ni starter tuu, mengine unajiongeza mwenyewe...

Shikamoo za siku hizi ni kama vile umeambie, niaje...

Cc: mahondaw
 
Unajinsia gani mara mwanamke mara mwanaume

Kheeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…