Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Yaani unakutana na mtoto mzuriiiiiii !!!!, Halafu unasikia anakusalimia eti "SHIKAMOO ",Shit !!!!!!, Alaaah !!!, Mwingine utamsikia "SHIKAMOO BABA ",Wee Tafadhari, nilikuzaa lini ???, Mbona tunazeeshana Jamani ???!!!!. Salamu nzuri ni "Hbr za saa hizi !!!!! ", au "Mambo Kaka ",Hapo unasikia na Mapigo ya Moyo yanaenda mbio, Jamani Watoto wazuri msitusalimie salamu za kizee na kizamani.Watoto wote wa kike Mamboooo !!!!!. Nimemaliza.