we ndio mchawi mkubwa maana asubuhi yote hii hauwezi ukawa unawaza mapenzi tu....Mchawi mkubwa wewe
Aah,ukiachana na mimi ambaye kiukweli sio mchepukaji ila wadada wengi kwenye pesa hawachomoiUmeniangusha asee, so waweza shawishiwa na pesa na sio upendo?[emoji23][emoji23][emoji23]
Unatakiwa kuwa pilato,ni kusulubu tu,hayo mambo ya demokrasia achia CHADEMAπ€£π€£π€£π€£Mimi ni mwanademokrasia mpk mapenzini chawa wakubwa nyinyi na hamjui lolote
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Unajipakulia minyama au sio?Aah,ukiachana na mimi ambaye kiukweli sio mchepukaji ila wadada wengi kwenye pesa hawachomoi
Ukweli humuweka mtu huruUmeniangusha asee, so waweza shawishiwa na pesa na sio upendo?πππ
Kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajipakulia minyama au sio?
Eti mi Nani yako?π€£π€£π€£π€£Ila kenzy,hakuona maneno yote romantic jamaniTatizo sio kuongea, ni the way anavyo uliza haisisimui. Game inapendeza maneno ya hapa na pale lkn kihivyo mmh sijui
Huyu hata level ya field hajafikia, alikurupuka.Yuko field anafanya practice, akifaulu si ndo anakuwa