Akina dada heshima ni kitu cha bure!

Nakuheshimu mkuu chutama,kama ulikuwa unafanya huo utoto jitahidi ubadilike ok?binafsi sipendi hizo pigo za sijui unaisikia,mara ni tamu na mambo mengine,ikiwa tamu si nitaongea tu?ukinikoleza si ntakuita jina zuri tu,kiufupi uliboronga
Wewe unawivu
 
Hakuna mwanaume anauliza maswali ya kipumbavu kama hayo wakati wa game. Nyie ndo mnasababisha ushoga usambae sana. Mwanaume huwa haongei kwenye show. Anapita mzigo tu akiunguruma. Hii chai wauzie watoto wa vidudu.
 
Kila sekunde moja inayochomoka hewani kuna mwanaume anaumizwa na mapenzi.. oh Lord one man down!
 
Inakera...anamtoa mtu kwenye mstari, kamnyamazia bado tu.

Kuuliza tamu, Mimi nani....ni upuuzi na kutokujiamini.

Angetulia...mbona Huwa tunasema wenyewe bila kuulizwa.

Sasa CHAWA alitaka adanganywe akakutana na mkweli.
😂 Mwana kulifind Mwana kuligeti
 
Kuna thread nyingine inabidi utafiti kabla ya kupost vinginevyo utajiaibisha bure
 
Ila we mtoa mada una hasira za kijinga Sana,Yaani mtu kukuita tu chawa unaamua kughairi na utamu??? we Ni lofa kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…