Na mfuko haukua sawaSio kiu, nimekutana na ishu mara nyingi sana.
Kuna mwamba alipokea simu ya ghafla na kuaga ๐น๐น๐น nilicheka sana!Ha ha ha offer utoe wewe.tabu upate wewe..acha kutoa offer
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
๐๐๐๐Fundo tatu bia imeisha ? hiyo itakuwa Savanna au zile castle laiti, siku nyingine agiza chibuku supa uone kana ana jeuri hiyo๐คฃ
Next time usichukue wenye njaa mkuu, ndio zao hizoSio kiu, nimekutana na ishu mara nyingi sana.
Una bahati ,kuna mwingine anapiga chupa Tatu za wine @tsh. 27,000 na kuku mzima tsh 20,000 na ni mke wa mtuMtu anakuita au unakutana nae baa anakuambia kwa roho nyeupe agiza bia ili mpige story na kupeana kampani cha ajabu unaanza kunywa kama unamkomoa kisa tu umepata offer ya bure. Bia moja unapiga fundo tatu umemaliza ili kumkomoa mtu aliyekupa offer. Huu ni ushamba mkubwa sana. Ndio maana watoto wa kihuni huwa wanawaachia manyoya.
Kha huyo sio binadamu wa kawaidaUna bahati ,kuna mwingine snapiga chupa Tatu za wine @tsh. 27,000 na kuku mzima tsh 20,000