Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afu unafika getto tako mbili wazungu haoMkuu ukikutana na wale wa Jameson si utazima wewe?? Nilishamwambia dem agza kinywaji akamwita dada kumbe mwenzagu kaagza jameson aiseee nikamwambia ikiisha hio naenda kuku****
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usipende kutoa offer kama una pesa za mawazo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kama nina gunia la hela ndio unywe bia kama unakimbizwa?!! Kuweni wastaraabu banaAcha kelele wee mtu, sema tu kuwa huna hela ya ku afford offer huko kweny bar. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .
Mngekutana tu vichororoni bas.
Sasa si muwaambiage hao mnaokutana nao huko, huku JF hayatuhusu.Hata kama nina gunia la hela ndio unywe bia kama unakimbizwa?!! Kuweni wastaraabu bana
Hapa tuna share life experiences ndo maana inaitwa JAMIIFORUMSSasa si muwaambiage hao mnaokutana nao huko, huku JF hayatuhusu.
Basi mkaage kimya na mvumilie moyoni, sasa kelele za nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hapa tuna share life experiences ndo maana inaitwa JAMIIFORUMS
Kuwa mstarabu unapopewa offer unabugia bia ili kumkomoa nani? Jifunze tabia njema.Acha kelele wee mtu, sema tu kuwa huna hela ya ku afford offer huko kweny bar. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .
Mngekutana tu vichororoni bas.
Napata mashaka na wewe ni mmoja wa hao wadada wanaokunywa utafikiri wapo kwenye mashindano ya olimpic 🤣🤣🤣Basi mkaage kimya na mvumilie moyoni, sasa kelele za nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mnapenda kujionesha mna pesa, kumbe hola mweeeeh.
Mshamba ni wee uliye jifanya una hela kwa kumuita mdada sehemu ya starehe ili akuone bonge la bwana, sasa na yeye alitaka kuthibitisha hilo, kumbe wee ni hola [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani ukipewa ofa ndio uwe unakunywa harakaharaka ili unywe nyingi? Acha ushamba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kikubwa pesa ya kulipia tu iwepo.Napata mashaka na wewe ni mmoja wa hao wadada wanaokunywa utafikiri wapo kwenye mashindano ya olimpic [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pesa ninayo ya kutosha, ila tabia kama yako ya kunywa bia kama unakunywa chimpumu ndio sikuiipendaMshamba ni wee uliye jifanya una hela kwa kumuita mdada sehemu ya starehe ili akuone bonge la bwana, sasa na yeye alitaka kuthibitisha hilo, kumbe wee ni hola [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeeh kwa yaliyokukuta, mkutaniage vichochoroni.