IamJackReacher
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 300
- 396
Sio tunakuja ila hatulali [emoji23]Sasa kama unachukua mwanamke kavaa hivi inategemea nini mkuuView attachment 1754284
Naona unamseti shoga yako hapo kiaina mkuu[emoji3] ila sio mbayaHilo ni tatizo lingine tena. Ujue tatizo la wavulana hupenda kutunisha misuli yao midogo ili nao waonekane Wanaume. Wakati hawajui ni mishale mingapi wanaume tulipitia mpaka kuwa financial stable. Hata tunapoenda sehemu hatuombi menu or whatever but tunaagiza tu.
Nitake radhi kmkm.Naona unamseti shoga yako hapo kiaina mkuu[emoji3] ila sio mbaya
Bia moja unapiga fundo tatu umemaliza ili kumkomoa mtu aliyekupa offer.
Ndugu yake huyu hapa, Hana hata dalili ya kulewaUna bahati ,kuna mwingine anapiga chupa Tatu za wine @tsh. 27,000 na kuku mzima tsh 20,000 na ni mke wa mtu
https://mobile.facebook.com/DJTee255/photos/a.477880139010028/1548784451919586/?type=3&source=57&__tn__=EH-R
Kama unapiga k vant/konyagi hakikisha unamshawishi amix kidogo.Sio kiu, nimekutana na ishu mara nyingi sana.
Ili anywe nyingi lazima apige fundo tatu ili amalize haraka?Shida ipo kwako, Sasa kwann asinywe nyingi kama anataka na hujampa limit? Kwani anajua mfuko wako?
Tatizo wewe si muwazi, Kuwa muwazi juu ya idadi ya bia unazotaka anywe maana wewe ndo unalipa na unaujua mfuko wako. Yeye hajui.
Muhudumu mletee dada bia mbili. Kisha unamuweka wazi kuwa hizi zikiisha mnaondoka. Kama hataki hata hizo mbili usimpe, Usijifiche fiche huku unaumia.
Ndio. Hujampa limit na yeye ana tamaa na kiu ya bia. Akinywa taratibu muda hautatosha kunywa nyingi.Ili anywe nyingi lazima apige fundo tatu ili amalize haraka?
Si wa wewe kulipia bia zote anazotamani kunywa? Ww mpe bia mbili specific au tatu mwambie ndo zako hamna nyingine kama atabugia bugia hovyo.Acha ufala, muda hautatosha kivipi?
😀😀😀Labda alikua na kiu sana ya bia
Hapo ishu sio ulevi, ni ustaarabu wakati wa kunywa, tatizo lenu mnafikiri mnatukomoa kumbe mnajishusha thamaniKupatwa kwa mtoa ofa🤣🤣🤣🤣
Unaalika mlevi unategemea nin
Kubaliana na yote
Ndiyo maana wanaliwagwa macho.Una bahati ,kuna mwingine anapiga chupa Tatu za wine @tsh. 27,000 na kuku mzima tsh 20,000 na ni mke wa mtu
Mimi nafikiri tunachanganya mambo, mleta mada hajalalamika idadi ya bia zinazonywea, amesema unywaji wa wadada wanaopewa offer sio wa kistaarabu, mtu anakunywa bia utafikiri anafukuzwa au ameambiwa ni mwisho wa dunia!!!Hamna kitu hapo mkuu. Unataka anyweje hiyo bia sasa? Kama alikuwa na kiu? Tatizo ni pale unapompa mwanadada ofa halafu unakuta unaagiza bia moja moja tena kwa kunungunika. Kama umeamua kumpa offer muache anywe mpaka aombe msamaha mwenyewe.