Akina dada kutusalimia ''shikamoo'' mnatuzeesha

Akina dada kutusalimia ''shikamoo'' mnatuzeesha

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,355
Reaction score
14,408
Yaani unakutana na mtoto mzuri, halafu unasikia anakusalimia eti "shikamoo ", shit!, Alaaah!, Mwingine utamsikia "shikamoo baba ".

Wee tafadhali, nilikuzaa lini? Mbona tunazeeshana jamani?. Salamu nzuri ni "habari za saa hizi! ", au "mambo kaka ".

Hapo unasikia na mapigo ya moyo yanaenda mbio, jamani watoto wazuri msitusalimie salamu za kizee na kizamani.Watoto wote wa kike mambo.

Nimemaliza.
 
Yaani unakutana na mtoto mzuriiiiiii !!!!, Halafu unasikia anakusalimia eti "SHIKAMOO ",Shit !!!!!!, Alaaah !!!, Mwingine utamsikia "SHIKAMOO BABA ",Wee Tafadhari, nilikuzaa lini ???, Mbona tunazeeshana Jamani ???!!!!. Salamu nzuri ni "Hbr za saa hizi !!!!! ", au "Mambo Kaka ",Hapo unasikia na Mapigo ya Moyo yanaenda mbio, Jamani Watoto wazuri msitusalimie salamu za kizee na kizamani.Watoto wote wa kike Mamboooo !!!!!. Nimemaliza.

Fataki katika ubora wako
 
Yaani unakutana na mtoto mzuri, halafu unasikia anakusalimia eti "shikamoo ", shit!, Alaaah!, Mwingine utamsikia "shikamoo baba ".

Wee tafadhali, nilikuzaa lini? Mbona tunazeeshana jamani?. Salamu nzuri ni "habari za saa hizi! ", au "mambo kaka ".

Hapo unasikia na mapigo ya moyo yanaenda mbio, jamani watoto wazuri msitusalimie salamu za kizee na kizamani.Watoto wote wa kike mambo.

Nimemaliza.
Sasa mtu unamiaka arobaini unataka uambiwe mambo na mtoto wa miaka ishirini na umri huo si umri wa mtoto wako...au ndio uzee mwisho chalinze.ha ha haaaaa ujue kuna watu wanaukwepa uzee hatariii.

Tena una miaka arobaini+ na bado unataka uitwe kaka aiseeh
 
Umri kama umesonga umesonga tu we pokea hizo shikamoo sababu wapo wanawake wanamaadili hawajui kumpa mtu mzima mambo lazima shikamoo ichukue nafasi yake.

Hivyo ukisalimiwa itikia na kama unataka mambo mengine jipange tu.
 
Umri kama umesonga umesonga tu we pokea hizo shikamoo sababu wapo wanawake wanamaadili hawajui kumpa mtu mzima mambo lazima shikamoo ichukue nafasi yake.

Hivyo ukisalimiwa itikia na kama unataka mambo mengine jipange tu.
Kuna my x namzidi miaka kama 4 tu ananiamkia shikamoo wakati nimemvua pichu for 4 years consecutively, sijui sababu kaolewa?

Kisanga kingine.
Enzi hizo tunaishi kwa baba, mimi na ndugu yangu tukapanga geto mtaa wa tatu ili kufanyia mambo ya siri huko. Baba mwenye nyumba ana kitoto kizuri kinaibukiaibukia, miaka 16/7 hivi body morphology a.k.a structure inavutia akawa anatumwagia shikamoo kaka nyiingi. Tukawazaa huyu tumnyamazishe vipi!!
Tukaanza kumwangalia rangi anazopenda, kumbe anaipenda rangi ya yeboyebo fastaa tukaingia dukani tukanunua pichu kadhaa za njano. Ilikuwa siku kama 2 baada ya birthday yake tukafunga vizuuri, tukampa na maneno kadhaa you know sikuwepo kwenye birthday yako lakini zawadi yako hii hapa....., nduuuki home tukasubiri kesi ya kumceduce dent, ikawa kimya. Kumbe kafuraahi mpaka mwisho.
Basi ikawa hivyo, basi tu busara ziliturudi, hatukutenda tulichokusudia.
 
Yaani unakutana na mtoto mzuri, halafu unasikia anakusalimia eti "shikamoo ", shit!, Alaaah!, Mwingine utamsikia "shikamoo baba ".

Wee tafadhali, nilikuzaa lini? Mbona tunazeeshana jamani?. Salamu nzuri ni "habari za saa hizi! ", au "mambo kaka ".

Hapo unasikia na mapigo ya moyo yanaenda mbio, jamani watoto wazuri msitusalimie salamu za kizee na kizamani.Watoto wote wa kike mambo.

Nimemaliza.
Mambo kaka
 
Kuna my x namzidi miaka kama 4 tu ananiamkia shikamoo wakati nimemvua pichu for 4 years consecutively, sijui sababu kaolewa?

Kisanga kingine.
Enzi hizo tunaishi kwa baba, mimi na ndugu yangu tukapanga geto mtaa wa tatu ili kufanyia mambo ya siri huko. Baba mwenye nyumba ana kitoto kizuri kinaibukiaibukia, miaka 16/7 hivi body morphology a.k.a structure inavutia akawa anatumwagia shikamoo kaka nyiingi. Tukawazaa huyu tumnyamazishe vipi!!
Tukaanza kumwangalia rangi anazopenda, kumbe anaipenda rangi ya yeboyebo fastaa tukaingia dukani tukanunua pichu kadhaa za njano. Ilikuwa siku kama 2 baada ya birthday yake tukafunga vizuuri, tukampa na maneno kadhaa you know sikuwepo kwenye birthday yako lakini zawadi yako hii hapa....., nduuuki home tukasubiri kesi ya kumceduce dent, ikawa kimya. Kumbe kafuraahi mpaka mwisho.
Basi ikawa hivyo, basi tu busara ziliturudi, hatukutenda tulichokusudia.
Mmmhhh !!!!, Kweli ???. Basi mlijitahidi.
 
Back
Top Bottom