Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Unakuta wamasai pale llala wameshambulia kichwa cha dada/mama huku wakimgeuza kila pande wakikishambulia, lakini si mnajua macho hayana pazia sasa nikagundua wamasai wanacheza kamchezo kamoja kachafu sana kuwasogeza dada zetu kwenye nyeti zao mmmmh agggrrrrrrrrrr yule dada aliye kuwa akisukwa angekuwa na sweetheart wallah wale wamasai wangekiona cha moto.
Lakini nilivyo peleka baada hii kwa walengwa wanadai tena wamasai hao hao wanalazimisha hadi kuomba namba za cmu kwa ajili ya kazi ya usiku wanadai unaweza ukawa umepumnzika na Mr. nyumbani yeye akakupigia wkt mlisha malizana ukiuliza masai unashida gani usiku anasema anataka ile kitu inamesa mwenzie akina dada kuweni makini.
Lakini nilivyo peleka baada hii kwa walengwa wanadai tena wamasai hao hao wanalazimisha hadi kuomba namba za cmu kwa ajili ya kazi ya usiku wanadai unaweza ukawa umepumnzika na Mr. nyumbani yeye akakupigia wkt mlisha malizana ukiuliza masai unashida gani usiku anasema anataka ile kitu inamesa mwenzie akina dada kuweni makini.