Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ule msamiati wa "kuporomoka kwa maadili" hiyo ni sehemu tu ya huo msamiati wenyewe, kila kitu tunakipokea tu kama kilivyo, navyojua nguo kazi yake ya kwanza ni kuficha "uchi" ila sasa hivi uchi unawekwa nje nje ndo kupendeza huko, zamani ilikua mtu anapekua chupi ili alione tako sasa hivi inabidi upekue tako ili uione chupi! mambo yameharibika sana na wametuzoesha na kutupa usugu hatushituki tena kama zamani ukiona mstari wa chupi tu tayari ishakua tatizo sasa hvi kawaida tu...Yako very transparent...yaani yana akisi yote yaliyomo ndani
Lakini nimegundua kabisa madera haya yayoakkisi mnayavaa makusudi kabisa na mnatembea nayo mtaani.
Pia nimefahmu siku hizi hamvai underskirts...wala tight ambazo atleast ziyashikilie makalio yasichezecheze.
Sasa swali.
Hivi kwanini mnatufanyia hivi ....!?? Mnatutaka nini.!?
Na vi chupi hivi mnavyovaa siku hizi ni kama kamba...yani unaona kila kitu.
Kwakweli hili lijadiliwe hapa.
Nia yenu ni nini hasa!??
Nimeshtuka jomoniiii😣😣Washindwe na walegee tabia yao iyo ya kuvaa midela View attachment 1051909
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unapoanzisha nyuzi kama hizi usisahau mifano thabiti..
#AFCON2020
#Subirieni zan yenuView attachment 1051939View attachment 1051940View attachment 1051941
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani joto....Aisee nimekutana na mdada hapa shoppers plaza kwenye ATM hilo dera kama kanga yani unaona kbs mpk chu.pi.
Hivi siku hizi hamna magagulo?
Uongo dhambi raha ya Dela matako/ shandundu /furushi la mavi.. Ila kwa mademu wenye vijiskonz au flat wakivaa madela Kama yametundikwa full kupepea na upepo ila kwa mademu waliojaliwa matako oya!!! Lazima udis..e
Hahaa. Kwel kabisa mkuu wenzetu kule wamejaliwa sura nzur ila nyuma flat kama uwanja wa soka kwa kwel kama ndio hivyo si badili kauli nasimamia hilo kama Mzee Assad ktk ile kauli yaoKama ni hivyo unavosema basi ukipeleka madela Kilimanjaro ni sawa na kuwakosea wabunge kwa kuwaita "Dhaifu"?
kuna dada kaja dukan kwa mangi jana usiku kalivaa, aisee ni hatari..! Halafu mke wa mtu.. nliona mpaka caldera.!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wanataka kukulipa kodi kwa njia nyingineKwa kiasi kikubwa wanawalenga waume za watu. Kuwa baba mwenye nyumba ni mateso sana...
Mwambie anahitajika huku, mzigo kama huu anaishije kawaidaHuyu dada anaishi Keko Magurumbasi picha zake zina kiki lakini anaishi maisha ya kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app