Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
- #21
[emoji38] [emoji38]Tulia tuwafunue sana, mnaona dili sana kutuchuna eeeh [emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38] [emoji38]Tulia tuwafunue sana, mnaona dili sana kutuchuna eeeh [emoji41]
mbona umepanic brzaa?
stay cool.relax
naongea na wadada wenzangu
siko vitani
wasonye tu..ila ujumbe umefikaaKwakua umejibu kistaarabu bas hakuna shida bibie..
Ila UNAPIGIA MBUZI GITAA wenzako wanasoma kisha wanasonya tu..
[emoji38] ...we kula tu kama una moyo..Haina makombo hiyo
Ya nini mtu aadhirike mjini wakati "mradi" anao? Waambie waache kupenda mteremko.WANAWAKE wenzangu wengine mnatia aibu..jijengeeni msimamo na stara..kujistir ni jukumu lako.
we ushafunua uchi wako kwa hata wasio wapenzi wako
ukiombwa gemu kishkaji wala huna hiyana mtoto wa kike..unatoa tu!!
unapangilia mpaka wanaume kumi...hata kama hao wanaume watakufichia siri..bado utadhalilika tu.
imagine binti mtaa mzima Unaoishi wanajua papuchi yako ikoje..pindo la chupi yako.mpaka alama zote huko sirini.
siku ukaamua kuolewa nusu ya wanaume kwenye ukumbi wanajua uchi wako ukoje..wanampa mkono wa pongezi mumeo huku moyoni wanamdis "umeamua kuchukua jumla..si tushagonga sana hapo"
hakuna alokufa kwa nyege!!
kuna njia mhadala za halal kujipatia riziki lakini sio kwa kudanga..unatoa mpaka njia ya haja kubwa kwa ajili ya iphone!
TULIZA KIPAPA CHAKO!!!
ndo mradi wao......ila kila mtu aravuna alichopandaSiyo kwa wanawake wa siku hzi. Hata kama hujaomba gemu wewe, wanaomba wenyewe.
Sasa kama mwanamke anatembea hajavaa chupi alafu amevaa mini skirt unatarajia nini.
Hata nikikupa PESA!!!!kipapa tulia nyege haziui
pesa tamuHata nikikupa PESA!!!!