Akina mama acheni kuwasajilia namba watoto wenu wa kike, wanazitumia kwa ajili ya kujiuza

Akina mama acheni kuwasajilia namba watoto wenu wa kike, wanazitumia kwa ajili ya kujiuza

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Nimekutana naye huko badoo akanipa namba basi nikaingia m-pesa kujua jina basi lahaula ni jina la mama mmoja ninayemfahamu.

Alipokuja nikambana akasema akitumia namba hiyo hawezi kufahamika kupitia mitandao kwasababu mama yake hatumii instagram, facebook, twitter nk

Kwamba anaogopa akitumia namba yenye jina lake ni rahisi kufahamika kwasababu majina hayo tayari yapo social media mbalimbali zikiwemo zile za kuheshimika kama LinkedIn.
 
jina la mama yake wewe umelijuaje,wakati tayari anaitwa mama flani[emoji22][emoji22][emoji22]
Sidhani kama umefikiria kabla ya kuandika. Kufahamu jina kamili la mtu ambaye aliwahi kuwa jirani yetu ni jambo la ajabu?
 
Kwahiyo umeshamtawanya? Umetoa bei gani
 
kafanye kilicho kupeleka !. achana na historia za walipotokea
 
Sidhani kama umefikiria kabla ya kuandika. Kufahamu jina kamili la mtu ambaye aliwahi kuwa jirani yetu ni jambo la ajabu?

si jambo la ajabu kabisa,hasa kama hujajifunza jambo lolote kuhusu heshima na adabu kwa watu.

mnaomjua mama wa binti ni nyinyi mliokua naye,sisi wengine wala haina shida tutajua ndiye binti mwenyewe.
 
si jambo la ajabu kabisa,hasa kama hujajifunza jambo lolote kuhusu heshima na adabu kwa watu.

mnaomjua mama wa binti ni nyinyi mliokua naye,sisi wengine wala haina shida tutajua ndiye binti mwenyewe.
Vipi una stress za madeni au familia? Mbona unaniletea mapovu bila sababu?
 
Back
Top Bottom