Asante sana, nilitaka nikugongee thanks ila kitufe sijui kimeyeyukia wapi hukooo, so somo limeleweka teach others too.
Hahaaaaaaa, hata kama angerudi kuwa bikra tena!! kwanza huyu nilie nae nimwambieje? Aaah nyie hamumfahamu huyu eeehkazi kweli kweli......nilijua ugomvi ni kwa huyu dada mwenye ndoa na watoto kutoka nje ya ndoa...kumbe ugomvi ni kukurudia wewe aliyekutapika zamani? sasa,em tuweke hivi,ungekuwa ulimtapika wewe,akolewa,lakini akataka ku-spend muda na wewe,ungempokea kwa mikono miwili sio? kuweni na msimamo pia wanaume,you are the weakest creatures......!!!
Hahahhhaaha dearest umeniacha hoi!Ila ukweli ni ukweli tu hata kama unafurahisha...we unadhani kuna mwanamke anajipendekeza kwa mwanaume kichwa kichwa kweli?!Wanawake hua wanajua kabisa fulani nikimsumbua mara mbili tatu tu ataingia line....wakati wanaune hua wanatumaini wataweza!!
Elli kwa mara nyingine nakwambia kama kweli huna mpango na huyo dada mweleze na umaanishe.Kama bado anaendelea kukupigia na kukutext basi una udhaifu hata kama hutaki kukubali.... its just a matter of time before you fall into her hands.
Kwa sababu ni mwanamme tena binadamu mwenye nyama naweza kuwa dhaifu lakini dada zangu jamani sio kwa kiasi hicho, mpaka kaka yenu nimesema haya mjue basi mambo magumu; udhaifu wangu ni kwamba siwezi kuacha kujibu text ya mtu, hilo nalijua ila ndani ya ujumbe huo kunakua na maneno ya kumkatisha tamaa but hyuy mwenzenu niking'ang'anizi sijpata ona, eehj jamaniHahahhhaaha dearest umeniacha hoi!Ila ukweli ni ukweli tu hata kama unafurahisha...we unadhani kuna mwanamke anajipendekeza kwa mwanaume kichwa kichwa kweli?!Wanawake hua wanajua kabisa fulani nikimsumbua mara mbili tatu tu ataingia line....wakati wanaune hua wanatumaini wataweza!!
Elli kwa mara nyingine nakwambia kama kweli huna mpango na huyo dada mweleze na umaanishe.Kama bado anaendelea kukupigia na kukutext basi una udhaifu hata kama hutaki kukubali.... it‘s just a matter of time before you fall into her hands.
Hahaaaaaaa, hata kama angerudi kuwa bikra tena!! kwanza huyu nilie nae nimwambieje? Aaah nyie hamumfahamu huyu eeeh
Duh, sikuljua hili kabla.Well said dear.....hapo BLUE, waga analysis inafanyika kabla,na namna ya ku handle challenge zinazojitokeza pia zipo.....!!
Hahaaaaaaa, hata kama angerudi kuwa bikra tena!! kwanza huyu nilie nae nimwambieje? Aaah nyie hamumfahamu huyu eeeh
Kwa sababu ni mwanamme tena binadamu mwenye nyama naweza kuwa dhaifu lakini dada zangu jamani sio kwa kiasi hicho, mpaka kaka yenu nimesema haya mjue basi mambo magumu; udhaifu wangu ni kwamba siwezi kuacha kujibu text ya mtu, hilo nalijua ila ndani ya ujumbe huo kunakua na maneno ya kumkatisha tamaa but hyuy mwenzenu niking'ang'anizi sijpata ona, eehj jamani
Kwa sababu ni mwanamme tena binadamu mwenye nyama naweza kuwa dhaifu lakini dada zangu jamani sio kwa kiasi hicho, mpaka kaka yenu nimesema haya mjue basi mambo magumu; udhaifu wangu ni kwamba siwezi kuacha kujibu text ya mtu, hilo nalijua ila ndani ya ujumbe huo kunakua na maneno ya kumkatisha tamaa but hyuy mwenzenu niking'ang'anizi sijpata ona, eehj jamani
Dada, sijasema mimi ni Innocent ila huwa siwezi kudanganya yaani nakosa amani kabisa, halafu kwakua vile vitu huwa vinaendana na emotions so hua nikapata text yake na-loose kabisa. Namheshimu huyu na pia naogopa mengi. Mimi pia ni dhaifu ni kweli na sijasema niko Innocent...u nver know when you will sin; it just happens....lakini kama kuna vijinafasi vya kusemea si ndio tunasema ili mizigo ya moyoni ipungue? Ni kweli MUNGU anipiganie.acha kujidai innocent Elli, we hujui ungemwambiaje huyo uliyenae? sihitaji kufahamu mwanamke uliyenaye kuku judge wewe kama mwanaume.......mwanamke ni mwanamke tu,hata angekuwa kama Cleopatra au Marilyn Monroe, tamaa ziko pale pale,Mungu akusaidie!!
Yaani kila neno nianlosema kwenu lina maana zaidi ya moja! Sasa nisemeje sasa but woga ninaomaanisha hapa una maana kubwa zaidi.....Kwahiyo kumbe woga tu kwa huyo uliyenae ndo unakuzuia na sio kwamba hutaki???
Kwahiyo kumbe woga tu kwa huyo uliyenae ndo unakuzuia na sio kwamba hutaki???
Ukipata text yake una-loose ehhh??!Haya sasa kashakukamata emotionally subiria tu siku ya kuongozana gesti!!Dada, sijasema mimi ni Innocent ila huwa siwezi kudanganya yaani nakosa amani kabisa, halafu kwakua vile vitu huwa vinaendana na emotions so hua nikapata text yake na-loose kabisa. Namheshimu huyu na pia naogopa mengi. Mimi pia ni dhaifu ni kweli na sijasema niko Innocent...u nver know when you will sin; it just happens....lakini kama kuna vijinafasi vya kusemea si ndio tunasema ili mizigo ya moyoni ipungue? Ni kweli MUNGU anipiganie.
Mmh nyie wanawake nyie mbona kama vile sasa mnamtetea huyo dada? Nieleweni jamani, mimi simhitajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.Kitendo to cha wewe kumjibu na kesho akarudia tena kinaonyesha unaendekeza na kufurahia.Hivyo subiria subiria muda kidogo kama hujaja hapa kutueleza jinsi ex wako alivyokishawishi kuingia dhambini na mkeo kagundua sasa unataka msaada wa jinsi gani uepuke shari!!!
He is just a man....:majani7:
Umenikera kwa kujumuisha wadada/wanawake wote!!
Nwy cha kufanya we ondoa mawasiliano naye tu basi.Tulia kwao nae kama hawezi kufanya hivyo atafute anaefanana nae wavunje viapo vyao pamoja!
He is just a man....:majani7:
Hahahaaaaaa, hata gesti kukiwa na bei ya promosheni nasema siendiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Kha, nyie akina mama vipi? Kwani nina viungo vingapi mie hadi kila mwanamke nilale nae?? sitaki nasema sitaki jamaniiiiiUkipata text yake una-loose ehhh??!Haya sasa kashakukamata emotionally subiria tu siku ya kuongozana gesti!!
AmeniPM wewe haumo! Lol
Great Lizzy, be blessed, nimekuelewa mamaHahhaha!Maakini Elli wa watu anadai eti kila anachosema tunaona maana zaidi ya moja!!Tunamuonea ehhhh???
Elli tusipofanya hivyo na sisi tutakua tunakuendekeza kama we unavyomuendekeza mdada wakati hatutaki uanguke kusiko!!!