Pre GE2025 Akina mama tokeni hadharani kupigania haki zenu

Pre GE2025 Akina mama tokeni hadharani kupigania haki zenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kuna hoja imeibuliwa na CHADEMA kuwa kila Jimbo la Uchaguzi kuwe na Wabunge wawili yaani mmoja awe Mwanaume na mwingine awe Mwanamke.

Binafsi naona hii ni neema kwa akina mama na ile dhana ya uwakilishi ya 50/50 itakuwa imetimia. Akina Mama tokeni hadharani na mpigaie haki zenu.

Napingana kwa asilimia 100 na hoja iliyoletwa na Katibu Mwenezi wa CCM- Taifa kuhusu uwakilishi Bungeni.
 
Back
Top Bottom