"watatokea manabii nao watafanya miujiza yao, infact mtego wetu ni tuwashinde manabii hawa wa uongo, wanaoitumia biblia kama ngao yao katika kufanikisha aina ya ujuzi wao wa kiganga, infact hawa ni waganga wa kienyeji katika mfumo wa siri mno, nadokeza kidogo, ukienda kwao umerogwa aidha una shida inayousiana na uchawi utapona, wanazo nguvu zao nzito kabisa za kuondoa mapepo "kiganga" kwani maeneo yao ya makanisa huwa na nguvu kubwa zimetegwa, na pia mapepo yametegwa, key :- au ufunguo huwa nao pale mtumishi, (circles) trickly!, wakati waumini wakiingia kanisani huweza kuwaachia baadhi ya mapepo, yakawaingia watu, na anapoanza maombi huweza kuyakaribia, yakaamka na kuyafukuza (circulae accomplished).