Akina RC, KKKT, SDA na Anglican msimchukie tu Mwamposa, bali jiulizeni mmekosea wapi na kawazidi nini sawa?

Hapo Kwenye RC umedanganya.
 
GENTAMYCINE kuhusu kuhudhuria Jumuia na Michango kama huwezi si vyema kupotosha wengine.
Sala za Jumuia ni muhimu Kwa ukuaji wa Kiroho katika jamii, pia hudumisha undugu katika Kristo Yesu Mwana Wa Mungu Aliye Hai, Yeye aliyefanyika Mwili Kwa ajili Yetu, akakaa Kwetu.

Michango Yote ndani ya Kanisa Katoliki tunaiona Matumizi yake na haipo kumnufaisha mtu yeyote Binafsi.
 
Wakristo ni mafarisayo sana mnasoma biblia kina Paulo walifanya Miujiza na mnaamini LAKINI akija mtumishi wa Mungu akifanya Miujiza,uponyaji mnamuita mganga mara nfanya mazingaombwe nyie hamna tofauti na waliomsurubisha Yesu…….blind pharisees…..
 

Breaking news: Mtoa mada hayupo Dar wala hajawahi kufika Dar..So habari yake ipuuzwe
 
Wanawake wanaendeshwa kwa hisia ndio maana wao ndio vinara wa miujiza
 
Acha uongo jumuiya unaenda ili ukitokea msiba kwako ama sherehe upate ushirikiano wa wana RC…….unasemaje unakua kiroho akati ndani yako unajua sio kweli….umekua kiroho kufika level zip mfano
 
SDA hatuna mikesha na hakuna muumini aweza kwenda huko nikupe pole kwa utafiti wako! Labda ambaye hajakomaa kiimani na huyo hana ushirika kanisa lo lote lile! Bado anajitafuta!
 
Naomba kujua Logic behind kuwa nikiwa sihudhurii Jumuiya kila Siku za Jumamosi nikifa Kanisa Katoliki haliji Kunisalia na Kuniombea.

Hivi Mwenyezi Mungu nae mwenye Dini yake na hii Dunia yake yote angekuwa na Vitisho kama hivi vya Kanisa Katoliki kuna Mtu angesalimika?

Hivi Kiimani Mtu wa Mungu anatakiwa atishwe Kipumbavu ( Kipopoma ) kama mfanyavyo RC's au anatakiwa Ashawishiwe na Abembelezwe ili aone Fahari kuwa mwana Jumuiya na Muhudhuriaji?

Sihudhurii Jumuiya zenu kutokana na hili Tishio lenu na ikitokea nimekufa hata kama Kanisa Katoliki litakataa kuja Kunisalia watakaokuwepo Watanisalia na nina uhakika kwa Mema niliyoyafanya hapa duniani nitapokelewa Fasta Sebuleni kwa Mungu Baba huku nyie Wanafiki mkiishia kukaribishwa nje na Stoo huku akisubiria zamu yenu ya Kuchomwa Moto kwa Dhambi zenu mnazozifichia kwa Vazi la Imani Takatifu na Kusali kila mara.
 
Acha uongo jumuiya unaenda ili ukitokea msiba kwako ama sherehe upate ushirikiano wa wana RC…….unasemaje unakua kiroho akati ndani yako unajua sio kweli….umekua kiroho kufika level zip mfano
Huwa napenda sana kukutana na JamiiForums Genius Members kama Wewe Mkuu. Heko kwa hiyo Dozi uliyompa Mnafiki huyo wa RC Kwetu.
 
RC wala hatuna muda nae wala hatumchukii ila hatukubali katika utume wake. Ni kama tusivyokubali ubatizo wa wa makanisa ya pesa,Fpct, SDA, na mengine yote yasiyobatiza kwa kutumia UTATU MTAKATIFU
RC ni mapokeo ya tamaduni za Kirumi zilizovishwa taswira ya kidini tu.
 
Bwana Genta, Kanisa Moja Takatifu Katoliki La Mitume hutoa huduma za Kiroho Kwa wakatoliki wanaojishughulisha na mambo ya Kiroho. Hivyo endapo hujishughulishi na mambo ya Kiroho ungali hai basi Jumuia hii haitahusika na wewe sababu hukujihusisha nayo. It is fair utazikwa na unaoshirikiana nao.
 
Eti mazingaombwe kna jirani yanu mu RC alienda kijini kwao wakamroga ndio alielewa ni mazingaombwe au ni nguvu za Mungu naye alikuwa kama type yako subiri upate changamoto za kiroho utaelewa
"watatokea manabii nao watafanya miujiza yao, infact mtego wetu ni tuwashinde manabii hawa wa uongo, wanaoitumia biblia kama ngao yao katika kufanikisha aina ya ujuzi wao wa kiganga, infact hawa ni waganga wa kienyeji katika mfumo wa siri mno, nadokeza kidogo, ukienda kwao umerogwa aidha una shida inayousiana na uchawi utapona, wanazo nguvu zao nzito kabisa za kuondoa mapepo "kiganga" kwani maeneo yao ya makanisa huwa na nguvu kubwa zimetegwa, na pia mapepo yametegwa, key :- au ufunguo huwa nao pale mtumishi, (circles) trickly!, wakati waumini wakiingia kanisani huweza kuwaachia baadhi ya mapepo, yakawaingia watu, na anapoanza maombi huweza kuyakaribia, yakaamka na kuyafukuza (circulae accomplished)
Kila nafsi imepewa akili,na tafakari basi enenda na kile uaminicho, Ubarikiwe Sana!
-Sabath tov!
=========
 
Hata ile dawa ya mbu ya kujipaka nimegundua ni alovera ndiyo maana ikigusa mdomoni ni chungu sana.

Mtengenezaji anakuambia usiweke mdomoni. Siri ya mtungi!
 
Hapo Kwenye RC umedanganya.
Nipe ukweli.

Halafu haya maji ya baraka huwa yanapatikana kwa wingi wakati wa Pasaka, na kipindi cha Pasaka kawaida mvua hunyesha, na hapo ndipo huyakinga na kuweka chumvi halafu watu wanagawiwa kwenye vyupa.
 
RC wala hatuna muda nae wala hatumchukii ila hatukubali katika utume wake. Ni kama tusivyokubali ubatizo wa wa makanisa ya pesa,Fpct, SDA, na mengine yote yasiyobatiza kwa kutumia UTATU MTAKATIFU

Mkuu PEFA, FPCT, TAG, ELIM na PHM wanabatiza kwa utatu Mtakatifu.
 

RC ipi inashida na mwamposa?. Mwamposa kaikuta RC na ataiacha.
 
Nipe ukweli.

Halafu haya maji ya baraka huwa yanapatikana kwa wingi wakati wa Pasaka, na kipindi cha Pasaka kawaida mvua hunyesha, na hapo ndipo huyakinga na kuweka chumvi halafu watu wanagawiwa kwenye vyupa.
Hukingwa kwa usafi
Huwekwa chumvi mbichi
Huombewa kwa mistari maalumu ya zaburi kwa siku 41, katika hali ya purity!,
Usije ukajichotea tu na kuweka chumvi. 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…