Akiona video kwenye status za WhatsApp, utasikia "nitumie"

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Habari wakuu,
Nahisi pia wengi wenu mtakua mmekumbana na hii kero. Unakuta mtu hamjawasiliana kitambo,hata kukujulia hali ni ishu wakati wewe unajitahidi kila unapokua na dakika za kutosha unampigia kumsabahi halafu yeye yaan kazi yake ni kupita tu kwenye status za whatsapp akiona kavideo amekapenda utaskia "NITUMIE". Yaan hii kitu inanikera sana kwa kweli, hakuna hata salamu, ni NITUMIE kavu.
 
kuna watu ndio zao aisee yaani anaweza kuona kavideo au kapicha aka react kwa kucheka au kusema Nitumie mm hua nawaambia niko mbali na Wakala
Hahaha, kweli mkuu nimependa jibu lako itabidi nianze kulitumia
 
Sometimes moto huzimwa na moto mkuu. Au limtu linakutesxt oyaaa siku hzi wap? simply tu unampa majibu ya kukatisha tamaa like.. Kwani kuna nini? Ulikua unataka nini?
Daaah, nimekubali we KaX mkuu
 
kuna watu ndio zao aisee yaani anaweza kuona kavideo au kapicha aka react kwa kucheka au kusema Nitumie mm hua nawaambia niko mbali na Wakala
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…