Akiondolewa kwenye cheo hicho ataanza kulia lia tena na kwenda hata kwa viongozi wa dini kumwombea!

Akiondolewa kwenye cheo hicho ataanza kulia lia tena na kwenda hata kwa viongozi wa dini kumwombea!

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
278
Reaction score
255
Hafuati taratibu zozote, Ujaji ni wake, uhakimu ni wake, uwakili ni wake, ushauri ndoa ni wake, ukulima ni wake, uzalishaji viwandani ikiweno sukari ni wake, uongozi wa kibabe ni wake, ukada zaidi ya wote ni yeye, kuonewa ni yeye, kutishia ni yeye tu, kutunga sheria za papo kwa papo ni yeye, kupanda punda ni yeye, kuendesha katapila ni yeye, n.k.

Huyu mtu ukweli hajua kabisa suala la good governace, yeye ni twende kazi tu. Bado maluwe luwe ya awamu ya tano hayajamtoka.

Chama hakioni hili - kwa sasa kuna minunguno midogo humo chamani lkn watu wanaenda kimya kimya tu.

Makonda alipaswa apewe ubalozi kama ana sifa lakini hili analokwenda nalo ni la makusudi kabisa kujijenga yeye tu.

Huyu mtu ni tatizo - tena tatizo haswa - hapo kapewa ofa ya uenezi mkitomtoa hata kwa nia njema tu atalia na kupata huruma wa wananchi na mengi kusemwa kuwa kaonewa.

Makonda hajawahi kufaa kuwa kiongozi mweledi hata siku moja, kwake uongozi ni ubabeee
 
Hafuati taratibu zozote, Ujaji ni wake, uhakimu ni wake, uwakili ni wake, ushauri ndoa ni wake, ukulima ni wake, uzalishaji viwandani ikiweno sukari ni wake, uongozi wa kibabe ni wake, ukada zaidi ya wote ni yeye, kuonewa ni yeye, kutishia ni yeye tu, kutunga sheria za papo kwa papo ni yeye, kupanda punda ni yeye, kuendesha katapila ni yeye, n.k.
Huyu mtu ukweli hajua kabisa suala la good governace, yeye ni twende kazi tu. Bado maluwe luwe ya awamu ya tano hayajamtoka. Chama hakioni hili - kwa sasa kuna minunguno midogo humo chamani lkn watu wanaenda kimya kimya tu. Makonda alipaswa apewe ubalozi kama ana sifa lakini hili analokwenda nalo ni la makusudi kabisa kujijenga yeye tu. Huyu mtu ni tatizo - tena tatizo haswa - hapo kapewa ofa ya uenezi mkitomtoa hata kwa nia njema tu atalia na kupata huruma wa wananchi na mengi kusemwa kuwa kaonewa. Makonda hajawahi kufaa kuwa kiongozi mweledi hata siku moja, kwake uongozi ni ubabeee
Unateseka ukiwa wapi wewe goroko?
 
Hafuati taratibu zozote, Ujaji ni wake, uhakimu ni wake, uwakili ni wake, ushauri ndoa ni wake, ukulima ni wake, uzalishaji viwandani ikiweno sukari ni wake, uongozi wa kibabe ni wake, ukada zaidi ya wote ni yeye, kuonewa ni yeye, kutishia ni yeye tu, kutunga sheria za papo kwa papo ni yeye, kupanda punda ni yeye, kuendesha katapila ni yeye, n.k.
Huyu mtu ukweli hajua kabisa suala la good governace, yeye ni twende kazi tu. Bado maluwe luwe ya awamu ya tano hayajamtoka. Chama hakioni hili - kwa sasa kuna minunguno midogo humo chamani lkn watu wanaenda kimya kimya tu. Makonda alipaswa apewe ubalozi kama ana sifa lakini hili analokwenda nalo ni la makusudi kabisa kujijenga yeye tu. Huyu mtu ni tatizo - tena tatizo haswa - hapo kapewa ofa ya uenezi mkitomtoa hata kwa nia njema tu atalia na kupata huruma wa wananchi na mengi kusemwa kuwa kaonewa. Makonda hajawahi kufaa kuwa kiongozi mweledi hata siku moja, kwake uongozi ni ubabeee
Hii movie ndo imeanza na visa vimeanza kukolea. Kuna mtu mmoja anacheza chess hapo ila kaweka move ambayo, daaah ni complicated sana. Watu wa game theory pekee ndo tutaelewa hapa.

Mie nipo pale, waiter nipe shot ya jagermeister
 
Hafuati taratibu zozote, Ujaji ni wake, uhakimu ni wake, uwakili ni wake, ushauri ndoa ni wake, ukulima ni wake, uzalishaji viwandani ikiweno sukari ni wake, uongozi wa kibabe ni wake, ukada zaidi ya wote ni yeye, kuonewa ni yeye, kutishia ni yeye tu, kutunga sheria za papo kwa papo ni yeye, kupanda punda ni yeye, kuendesha katapila ni yeye, n.k.
Huyu mtu ukweli hajua kabisa suala la good governace, yeye ni twende kazi tu. Bado maluwe luwe ya awamu ya tano hayajamtoka. Chama hakioni hili - kwa sasa kuna minunguno midogo humo chamani lkn watu wanaenda kimya kimya tu. Makonda alipaswa apewe ubalozi kama ana sifa lakini hili analokwenda nalo ni la makusudi kabisa kujijenga yeye tu. Huyu mtu ni tatizo - tena tatizo haswa - hapo kapewa ofa ya uenezi mkitomtoa hata kwa nia njema tu atalia na kupata huruma wa wananchi na mengi kusemwa kuwa kaonewa. Makonda hajawahi kufaa kuwa kiongozi mweledi hata siku moja, kwake uongozi ni ubabeee
Makonda chapa kazi,usisikirize kerere za mafisadi 🤣
 
wewe ni miongoni mwa matapeli yaliyolubuhu unataka kufurahia watu kuendelea kudhumiwa utawala bora unaousema ndio wa kuruhusu watu waibe hovyohovyo
Du! Udhaifu huu ni mbaya sana! Kushindwa kuja na hoja na kushambulia kwa maneno makali! Una hasiraaaa!
 
Hii movie ndo imeanza na visa vimeanza kukolea. Kuna mtu mmoja anacheza chess hapo ila kaweka move ambayo, daaah ni complicated sana. Watu wa game theory pekee ndo tutaelewa hapa.

Mie nipo pale, waiter nipe shot ya jagermeister
Tehe tehe anatakiwa akawasimamie Maafisa Kilimo kama sikosei! La sivyo Chama kitamhoji!
 
Huyo ni kielelezo cha CCM wote, sema tu yeye anafanya kiasi wengine tunaona...
 
Mwendo huu wa Makonda ni mzuri maana unaendana na uhalisia.Maofisi ya umma yamejaa madhalimu,mabazazi,walafi,wazembe,wavivu,vilaza,wahuni,wazinzi,wachonganishi n.k.Na kudhihirisha hilo ni utitiri wa malalamiko kila anapokwenda.Ingekua nchi ya wengi wanaojitambua,hii Serikali yote ilipaswa kuondoka madarakani haraka sana na kufanyika uchaguzi mkuu maana imepoteza 'legitimacy.'
 
Mwendo huu wa Makonda ni mzuri maana unaendana na uhalisia.Maofisi ya umma yamejaa madhalimu,mabazazi,walafi,wazembe,wavivu,vilaza,wahuni,wazinzi,wachonganishi n.k.Na kudhihirisha hilo ni utitiri wa malalamiko kila anapokwenda.Ingekua nchi ya wengi wanaojitambua,hii Serikali yote ilipaswa kuondoka madarakani haraka sana na kufanyika uchaguzi mkuu maana imepoteza 'legitimacy.'
Madhalimu hao uliwaweka wewe? Hauna shukran namna wanavojitoa watumish. Wewe acha kugeneralize useme wadhalimu,mabazaz yan
 
Back
Top Bottom