DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Ndio utaratibu unaotumika nyumba nyingi.Ninadhani utaratibu mzuri ni kununua vyombo vya kawaida vya daily use, zile dinner set ulizopewa kama zawadi ya harusi vibaki kwenye display mpaka ukipata wageni rasmi
Haina kulala kwenye nyumba ya mhindi...kwangu pia silazi mfanyakazi ila nampatia chai na msosi pamoja na emergencies zote mbali na mshahara nnaomlipa. Nashkuru anakaa vizuri na mtotoIla wale si nasikia hawalalagi yaani ni kama Mfanyakazi wa Ofisi nyingine, kwamba unaenda kufanya kazi tu ila kila kitu juu yako.
Ikifika mida ya kuondoka unakwenda nyumbani. Au sivyo nijuavyo Mkuu?
Saafi unafanya vizuri hapo Mkuu.Haina kulala kwenye nyumba ya mhindi...kwangu pia silazi mfanyakazi ila nampatia chai na msosi pamoja na emergencies zote mbali na mshahara nnaomlipa. Nashkuru anakaa vizuri na mtoto
Yaani "" mtu anajihisi yupo utumwani kabisaKuna baadhi ya nyumba wanawatreat HGs kama lowest class citizens. Yaani hata vitoto chini ya miaka minne vinajua kabisa hawa sio level zetu kwa jinsi wanavyokuwa treated. Ndio maana wakati mwingine hawa HGs hufanya matukio ya kutisha na kusepa zao
Mama ni masikini wa rohoKuna mama mmoja alikua haruhusu hausgal anywe chai kwa kitafunio hasa wali ataacha kauchora alama zake ,watoto wakirud wanazikuta wanaula,jion mama mtu anawauliza kama walizikuta alama wakijibu ndio basi pona ya hausgel,wakijibu hapana,bidada atakula kipigo kikubwa hadi huruma
Wewe mbibi una vituko "msambwanda" teh! teh!Hasa awe na chura wakati mother house msambwanda aliukosa
Yaaan hii ipo kabisa eti analaumu aliekiweka hapo watu huwa wanapenda kulaumu wengine tu na kujihukumu wao hapanawengine wanalawama akivunja mtu analaumu akivunja yeye anamlaumu aliyeweka pale kile chombo
utasikia nani kaweka glasi juu ya meza umeona umesababisha imevunjika
Kweli kabisaa watu wengi wana roho mbaya wanawanyima chakulaYani kama ikiwezekana kabisa usiwe na House Girl.. Ikishindikana kabisa kwamba lazima awepo basi awe wakuja asubuhi na kuondoka jioni asiwe wa boarding [emoji23]
Nimecheka sana mkuu! watu aina hii wapo sana kwenye jamiiwengine wanalawama akivunja mtu analaumu akivunja yeye anamlaumu aliyeweka pale kile chombo
utasikia nani kaweka glasi juu ya meza umeona umesababisha imevunjika
Mmmmhhhh kuna watu wana roho kubwa jamaniKuna mama mmoja alikua haruhusu hausgal anywe chai kwa kitafunio hasa wali ataacha kauchora alama zake ,watoto wakirud wanazikuta wanaula,jion mama mtu anawauliza kama walizikuta alama wakijibu ndio basi pona ya hausgel,wakijibu hapana,bidada atakula kipigo kikubwa hadi huruma
Cha kwako ukikiharibu hakiumi eeecha mtu kinauma
See?! Kuna mwingine aliwatupa wawili kwenye freezer akasepa zakeKuna mmoja alimchoma sindano mtoto utosini kabla hajaondoka, alifukuzwa kazi kwa upotevu wa milioni moja. Dada wa watu wala haijui millioni inafanana na nini.
Mtoto aliugua, homa kali kutokana na infection. Kabla ya kuzika bibi aliogesha maiti ndiyo anaona sindano utosini kwa mtoto mchanga.
ndivyo inavyokua-ga.Cha kwako ukikiharibu hakiumi eee
Ila hao wana roho za kikatili tuSee?! Kuna nwingine aliwatupa wawili kwenye freezer akasepa zake
Sawaandivyo inavyokua-ga.