Akiwa Kanisani, Ole Sabaya atangaza kuwaomba msamaha aliowakosea

Akiwa Kanisani, Ole Sabaya atangaza kuwaomba msamaha aliowakosea

Wewe ni jambazi sugu na unatakiwa ukaozee gerezani, tunajua wanataka kukupa teuzi ndio maana wame kutuma uanze kujisafisha na kutafuta huruma lakini ukirudi utaendeleza ujambazi wako
 
View attachment 2894068
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amewaomba msamaha wote aliwakosea na kusema amewasamehe wale wote waliomkosea.

Amesema hayo leo Jumapili Februari 4,2024 katika Kanisa la Ebenezer Restoration Ministry For All Nations, lililopo jijini Arusha katika ibada ya shukrani.

Sabaya amesema hataendeleza vita na maadui zake, bali anawaachia Mungu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mifumo ya haki na usawa nchini.

Ikumbukwe Aprili 5, 2023 Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi ilimwachia huru Sabaya baada ya kukiri kosa la kula njama pamoja na makosa mbalimbali yaliyokuwa yakimkabili.

Pia Sabaya aliachiwa huru kwa kesi nyingine mbili za matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu uchumi, zilizoendeshwa jijini Arusha.
Mpuuzi tu huyu, anachoongea ni unafiki na kujisogeza tu.
 
hata hivyo, hata madhabahu yenyewe aliyoenda kuombea ni ya kitapeli. na hajaomba wala kujikabidhi kwa Mungu, amejikabidhi kwa "madhabahu". umeona wanawake walivyoshangilia?
 
Anaongea kwa kiburi sana!....
Naona hajakoma....walimwengu watamfunza...shauri yake..hii dunia ina mwenyewe..Mungu.
 
Samehe saba ×70.

Sabaya ni mtu muungwana, ni mtu mwwnye hofu ya Mungu ndio maana amethubutu kuomba msamaha hadharani tena madhabahuni.

Hakika atakaye endeleza vita na yeye basi atakabiliana na nguvu za Mungu.
 
View attachment 2894068
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amewaomba msamaha wote aliwakosea na kusema amewasamehe wale wote waliomkosea.

Amesema hayo leo Jumapili Februari 4,2024 katika Kanisa la Ebenezer Restoration Ministry For All Nations, lililopo jijini Arusha katika ibada ya shukrani.

Sabaya amesema hataendeleza vita na maadui zake, bali anawaachia Mungu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mifumo ya haki na usawa nchini.

Ikumbukwe Aprili 5, 2023 Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi ilimwachia huru Sabaya baada ya kukiri kosa la kula njama pamoja na makosa mbalimbali yaliyokuwa yakimkabili.

Pia Sabaya aliachiwa huru kwa kesi nyingine mbili za matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu uchumi, zilizoendeshwa jijini Arusha.
Akafie mbali huyu mbwa amewatesa sana watu. Akae akijua kwamba wabaya wake bado wana hasira naye.,mpuuzi mkubwa!
 
Mwanasiasa Lengai Ole Sabaya ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, amewaomba msamaha wote aliwakosea na kusema amewasamehe wale wote waliomkosea.

Amesema hayo katika Kanisa la Ebenezer Restoration Ministry For All Nations Jijini Arusha katika ibada ya shukrani, leo Jumapili Februari 4, 2024.

Sabaya amesema hataendeleza vita na maadui zake, bali anawaachia Mungu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mifumo ya haki na usawa nchini.

Ikumbukwe Aprili 5, 2023 Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi ilimwachia huru Sabaya baada ya kukiri kosa la kula njama pamoja na makosa mbalimbali yaliyokuwa yakimkabili.

Pia Sabaya aliachiwa huru kwa kesi nyingine mbili za matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu uchumi, zilizoendeshwa jijini Arusha.

Chanzo: Mwananchi
Huu msamaha ni sehemu ya maandalizi ya kukabidhiwa mkoa wa Dar.
 
Mimi sitokusameheee mbwa wewe kama mbwai iwe mbwai tukikutana ujipange lazima nikule jicho
 
Kuna ujinga wanadanganyana watarudi .hahahs ngoja
 
Back
Top Bottom