Akiwa na Miaka 31 Chama ni sawa na Domayo

Akiwa na Miaka 31 Chama ni sawa na Domayo

Simba umri hauwezi ukawaathiri ghafla namna hii, timu inaathiriwa na general lack of form ambayo ni phenomenon ya kawaida ktk mchezo huu wa soka.

Pia kuna poor organization ambayo inafanya timu ipoteze concentration na hili la pili wakilifanyia kazi bado wataweza kupata matokeo ndani ya muda mfupi ujao.
 
Baada ya mechi ya Mtibwa niliweka uchambuzi wangu humu kumhusu CHAMA.

Niliweka wazi kuwa CHAMA amebakiza jina tu na wala hana uwezo wa kucheza LIGI KUU BARA kwa ufanisi tena.

Umri umemtupa, Ushindani kwenye Ligi Umeongezeka.

Ujio wake uliongeza zaidi idadi ya wachezaji wenye miaka 31 na kuendelea.

Sasa anaishi kwa pressure kubbwa sana kutoka kw amashabiki wanao mtaka awe anafunga magoli kama enzi zile. Enzi ambazo kimtazamo zilikuwa za mwisho katika maisha yake ya soka.

Wapo walionibeza na wapo wengine walio nyanyua hata simu zao kunipigia na kunishambulia kwa uchambuzi wangu.

Kuna waliosema kuwa Chama hakuonyesha kiwango kwa sababu ya maji uwanjani. Sasa je na pale Kaitaba kulijaa maji?

Simba hatokuja twaa Ubingwa wa LigiKUU akiwa na CHAMA, BOCCO, MUGALU, KAGERE na KAPOMBE.

Inabido hiko kizazi kiondoshwe mapema ili kuwepo na nafasi kwa ajili ya damu mpya.

- Bela Ciao. Bado babu Onyango na Nyoni.
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom