JM Aristotle
Senior Member
- Mar 9, 2010
- 163
- 4
Msanii wa kimarekani, Akon; amelazimika kuhairisha tamasha lake lililokuwa lifanyike nchini Sri Lanka, baada ya serikali ya nchi hiyo kumnyima visa.
Kisa hasa ni kutokana na wimbo wa "Sexy Chick", ambao kwenye 'shooting' ulimwonesha mwanadada mmoja akicheza nusu-uchi mbele ya sanamu ya buddha.
Tukio hili liliwasikitisha sana wakazi wa Sri-Lanka, ambao wengi ni wa Imani ya ki-buddha.
Zaidi ya watu 200, waliandamana ndani ya mji wa Colombo, wakibeba mabango yaliyoandikwa, "Stop Akon Now". Na, mpaka sasa kuna kundi kwenye facebook linaloitwa "We hate Akon"
Lakini, yeye mwenyewe Akon, alijitetea kwa kusema, hakuwa na nia yoyote mbaya ya kuichafua dini hiyo.
Kwa habari zaidi, waweza kufuatilia link hii; http://www.cbc.ca/arts/music/story/2010/03/24/akon-sri-lanka-concert.html
Kisa hasa ni kutokana na wimbo wa "Sexy Chick", ambao kwenye 'shooting' ulimwonesha mwanadada mmoja akicheza nusu-uchi mbele ya sanamu ya buddha.
Tukio hili liliwasikitisha sana wakazi wa Sri-Lanka, ambao wengi ni wa Imani ya ki-buddha.
Zaidi ya watu 200, waliandamana ndani ya mji wa Colombo, wakibeba mabango yaliyoandikwa, "Stop Akon Now". Na, mpaka sasa kuna kundi kwenye facebook linaloitwa "We hate Akon"
Lakini, yeye mwenyewe Akon, alijitetea kwa kusema, hakuwa na nia yoyote mbaya ya kuichafua dini hiyo.
Kwa habari zaidi, waweza kufuatilia link hii; http://www.cbc.ca/arts/music/story/2010/03/24/akon-sri-lanka-concert.html