Akopea nyumba ya jirani Milioni 200 kwa Hati Feki. Malalamiko yalifika hadi Ikulu danadana nyingi

Kwa zama hizi huwezi kutengeneza hati mbili kwenye kiwanja kimoja. Database inakataa kutoa hati ya pili.

Jamaa alifanya zama za zamani zamani kabla ya hati zote kuingizwa kwenye system
Pamoja na hayo. Kuna vitu vinazidisha maswali. Kama hao mume na mke waligushi hiyo hati, kwa nini mahakama iamuru nyumba iuzwe wakati mwenye nyumba hahusiki kabisa? Yaani watu wagushi hati ya nyumba yangu, wakopee fedha, halafu mahakama ione waliogushi ndiyo wenye haki?
 
Kabisa. Hivi kazi ya kukamata mtu aliyegushi hati ya nyumba yangu ni ya mimi mwenye nyumba? Yaani tapeli yuko mtaani, agushi hati ya nyumba yangu bila mimi kujua, akopee fedha, halafu mimi ambaye sijui chochote ndiyo niwajibike! Kosa ni la benki kutokuwa makini kuhakikisha mwenye nyumba ni nani na hati kama ni ya kweli.
 
Polisi wahuni sana.wanakula pesa ya Nini Sasa.Benki nao ni vilaza kwelikweli.wanashindwa Nini kutambua kuwa hii ni hati original ?
Hapa kuna kitu kinafichwa. Hakuna namna mwenye nyumba anahusika mpaka apewe kazi ya kukamata matapeli.
 
wanarudi nae kuja Dar es salaam Askari wanasema wamefika Mombo Hotelini Mtuhumiwa alikuwa ananuka wakamwambia aende chooni akajisaidie baadaye akatoroka kupitia dirishani”
Polisi wana mambo ya hovyo sana
 
Dogo ni darasa la saba D lakini anajieleza vizuri
 
Mahakama haina ujuzi wa kutambua nyaraka feki

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…