Akothee atoa kitchen party kali kwa wanawake wa kitanzania hasa hamisa mabeto

Our Tanzanian women have to run off from this fucking behaviour, They have to change. I have tried to understand what Hamisa needs. But, Till now I haven't yet got an answer. Good advice from Akothee.
 
Ww angalia wanawake wa kizaramo kwny uzi huu wameshaanza kugombana
 
Attention seeker from ghost followers
Ndo anachokitaka
Our Tanzanian women have to run off from this fucking behaviour, They have to change. I have tried to understand what Hamisa needs. But, Till now I haven't yet got an answer. Good advice from Akothee.
 
kuuchuna kuna manufaa gani?
hivi kuna haja gani ya kuzaa mtoto asifahamika baba?
nyinyi nyinyi wabongo ndio mngeanza ooh mtoto hana baba maalumu.
mtoto lazima afahamike dunia ijue,kuna leo na kesho
mara baba puuh, ahesabiwe haki zake..
tusiishi kwa kukariri jamani, ajifiche au atangazie dunia mond huduma atatoa ile ile tena hata ya kuzidi....
Mwacheni mtoto wa watu jamani alee mtoto wake ,huyo zarina kayafanya mangapi? mond je?
 
Watz hawajaanza kutukana kweli huko?
 
Kila mtu ana njia zake za kucheza game ili atoke,kwa Hamissa bahati mbaya imefail....

Huyo akothee nae apaswi kumsema hamissa maana nae utajiri wake umetokana na wanaume.

Wote ni magold digger tu sema yeye keshatusua.
kimsingi amemshangaa kwa mbinu ya kifala aliotumia huyo Hamissa,na kashauri nini kingefanyika ili Hamissa atusue(brains ndo key - na ni kama ana insinuate kua Hamissa hana hiyo brain ilio smart!).wala hajajiweka kuwa bora zaidi ya Hamissa au kusema ye sio mwizi n bla blah.
 
sio lazima kupitia hiyo njia wanayotaka wao, huyo hamissa anawashangaa wanaomlaumu akiwemo huyo akothee!! yeye ni mtu mzima anajua anachokifanya, tatizo siku hizi watu wanapenda kuwapangia wenzao maisha.
 
Tena huyo mcanada mwenyewe ni kibabu, akwendwe huko ye aseme tu alikuwa ana mahesabu na baba Nillan hamisa kamuwahi
 
What Mobeto did is Biblical. It is what Hagar did when she begot Ishmael, she started despising Sarah. All men should understand that a 'side chick' will always strive to undermine the 'main chick'.
 
Huyu huyu aliyekuwa anadanga kwa wazungu hadi akatajirika. Ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…