warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Jamani namfollow huyu bidada insta , Ila siku hizi anaboa na post zake za ulimbukeni na wazungu wake , mpaka mda mwingine natamani kabisa kum unfollow sema na Mimi kupenda umbea sasa mxieew .... yani kila siku ye post zake ni akina baba ojwang mara baba oyoyo wamefanya hvi hvi , anajichekesha kama tahira, sijui anaonaga sifa sana kuzaa na hao wazungu , yani ndo imekua topic kila siku , Mara ojwang kanipa nyumba, Mara baba yoyo ananipenda, halafu at the same time Ana date mtu mwingine , na huyo mwanaume atakua na moyo kwa kweli , au watakua wote mitambo kama sio yupo kimaslahi.
Akothee zaman alikua Anani inspire sana , especially story yake ya maisha mabovu aliyopitia, kunyanyaswa na wazungu , kudharauliwa mpaka kufikia maisha ya kifahari anayoishi now , akothee alikuaga dereva dala dala mombasa , ninachomkubali Mimi ni fighter Hana aibu kwenye kutafuta pesa, alikua mpaka dancer kwenye Ma club , naona ndo alipopata danga la kizungu bibie ndo kusafir nje na danga, mengine siri yake mpaka kuja kufanikiwa.
Ila siku hizi tena wazungu hao hao waliomuona fala na kumdhalilisha japokua alifaidika, maana kuna mzungu mwingine alibebaga mimba yake , mzungu akakataa akamwambia arudi kwao africa atampa kiasi chochote cha pesa anachotaka, bibie akaomba dolla million moja kama sikosei, ndo apo bibie akaanza ku invest kwenye biashara, uzuri alikua na akili za biashara, Ila ndo mapepe tu kama dada yetu shishi.
Akotheee atambue watu wamemfollow kwa ajili ya muziki wake , hayo mambo ya ku date na wazungu, kila siku kupost habar za akina ojwang na baba yoyoo it's just too much , yani akothee anaboa mpaka yeye mwenyewe anajua kuwa anaboa, yani bado Ana ulimbuken na wazungu , wazungu wake wenyewe kama wanaugua kifafa , vizee havina hata swagga , ashukuru tu Mungu sio Athman na yeye kaangukia
Yan huyu dada akiendelea hivi , hawez pata mtu wa kudate wala kuoa na team yake ya mpira, nani anaweza vumilia ujinga wa mwanamke Kama akothee, yan nilikua namuona wa maana sana , Ila siku hiz sijui karukwa akili au vip, jiran unaboa bana badilika
Akothee zaman alikua Anani inspire sana , especially story yake ya maisha mabovu aliyopitia, kunyanyaswa na wazungu , kudharauliwa mpaka kufikia maisha ya kifahari anayoishi now , akothee alikuaga dereva dala dala mombasa , ninachomkubali Mimi ni fighter Hana aibu kwenye kutafuta pesa, alikua mpaka dancer kwenye Ma club , naona ndo alipopata danga la kizungu bibie ndo kusafir nje na danga, mengine siri yake mpaka kuja kufanikiwa.
Ila siku hizi tena wazungu hao hao waliomuona fala na kumdhalilisha japokua alifaidika, maana kuna mzungu mwingine alibebaga mimba yake , mzungu akakataa akamwambia arudi kwao africa atampa kiasi chochote cha pesa anachotaka, bibie akaomba dolla million moja kama sikosei, ndo apo bibie akaanza ku invest kwenye biashara, uzuri alikua na akili za biashara, Ila ndo mapepe tu kama dada yetu shishi.
Akotheee atambue watu wamemfollow kwa ajili ya muziki wake , hayo mambo ya ku date na wazungu, kila siku kupost habar za akina ojwang na baba yoyoo it's just too much , yani akothee anaboa mpaka yeye mwenyewe anajua kuwa anaboa, yani bado Ana ulimbuken na wazungu , wazungu wake wenyewe kama wanaugua kifafa , vizee havina hata swagga , ashukuru tu Mungu sio Athman na yeye kaangukia
Yan huyu dada akiendelea hivi , hawez pata mtu wa kudate wala kuoa na team yake ya mpira, nani anaweza vumilia ujinga wa mwanamke Kama akothee, yan nilikua namuona wa maana sana , Ila siku hiz sijui karukwa akili au vip, jiran unaboa bana badilika