Aku bibi,narudi zangu kwa mpenzi wangu wa zamani.

Aku bibi,narudi zangu kwa mpenzi wangu wa zamani.

hahahaaa story yako inanikumbusha sana maisha ya udsm hiyo ndo style ya madada wengi duuh ama kweli ishi kwingi ujue mengi
 
hivi unawezaje kuwa na mahusiano afu no strings attached?

Maana ya 'no strings attached' ni nini?

Nashukuru Mungu mie wangu tumekubaliana ni "No string attached" Good thing kila mara huwa haishi kutoa hii kauli, "Don't fall in Love man" But nahisi kwa mbali kama naanza kufall vile.., Ila hapa ndo mnaniogopesha..:scared:
 
Watoto wa udsm mna mambo, but chuo kinachoongoza kwa couple I think ni mzumbe as chuo kipo porini hakuna entertainment zaidi ya dating, and also relationship nyingi za mzumbe zilikuwa hazikutan na vishawish vingi as hakuna wafanyakazi jirani wa kumsumbua demu wako na vipesa and also sababu wengi wanatoka familia zinazojiweza as mzumbe wanapenda private student na kufanya intake kwa kujuana so wengi wanaosoma wanakuwa watoto wana network ya ajira as faster after graduation wanapata ajira and then marriage kabla msichana hajafulia kitaa...

But kama kwa maisha ya jk kudumisha mahusiano ya chuo ni ngumu kama mvulana hutachelewa kupata shughuli ya kukuingizia kipato,
 
Jamani hivi kile kizazi cha jamaa alotundikaga majina ya akina dada alowapitia kisha yeye akafa kwa ukimwi, mademu wale wanaendeleaje mtaani! Asikwambie mtu, ukiwa handsome na pesa ipo, utawapanga hadi 'kitendea kazi' kiseme basi.
 
Jamaa akigundua hilo ammege tiqo tu halafu anamwacha
 
Heshima mbele wakuu.juzi nikiwa zangu kwenye moja ya lecture hall maarufu hapa chuon kwetu nikisubir pindi lianze,nlibahatika kunasa maongezi ya wadada flani hvi ambao walikua wamekaa jirani yangu,maongez yao yalikua hvi ''aku bibi,me narudi zangu kwa mpenzi wangu wa zaman,huyu{akataja jina la msela}ingawa ananipenda sana but kikwel i dont feel anythng on him,nilikua nae ili tu kufanya maisha ya hapa chuo yawe marahisi,si unaona hata vile ambavyo nimeanza kumpotezea taratibu,nataka mpaka ikifika mwezi wa 6 mwishon nimwambie kila kitu tulichofanya wkt wa uhusiano wetu kibaki kuwa historia,kwa kifupi he has to forget everythng abt me,eti jana kajikosha kunitoa out,nikaenda nikamlia vipesa vyake,bac c akataka tufanye na sex,me nkamdanganya nabreed ili kumkomesha tu,infact me kwetu arusha na ye kwao sijui ni songea,atanipatia wapi tena mie,kwanza mtu mwenyewe amesoma political science,mpaka aje apate ajira ni leo?''ikawa bahati nzuri ticha akawa kaingia class so story zao zkawa zmestopia hapo ingawa hata wkt ticha anapga pindi nliwaona bado wakiwa busy na story sema nilishndwa kuzinasa kutokana na kuconcentrate kumckilza mwalimu.sasa nkajiuliza,kumbe hizi couple tunazoziona hapa chuo ndo kikiisha fika kipindi ka hiki cha kumalza malza ndo mwisho wake unakua hvi wakuu?

Wengine tunao tuliotoka nao chuo mwaka wa kwanza mpaka leo tunadunda na mwakani dogo anaanza skuli. Kila nikimcheki dogo nakumbuka mbali nakucheka kuanzia lecture hall ambazo hazijaisha kule yombo mpaka kilamahewa, ikiwa fresh hillpark isiposoma mama lishe kwa mama k. Gud memories.
 
Wengine tunao tuliotoka nao chuo mwaka wa kwanza mpaka leo tunadunda na mwakani dogo anaanza skuli. Kila nikimcheki dogo nakumbuka mbali nakucheka kuanzia lecture hall ambazo hazijaisha kule yombo mpaka kilamahewa, ikiwa fresh hillpark isiposoma mama lishe kwa mama k. Gud memories.

teh teh teh,yombo kuko fresh sa hzi mkuu.
 
Back
Top Bottom