Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mungu mie wangu tumekubaliana ni "No string attached" Good thing kila mara huwa haishi kutoa hii kauli, "Don't fall in Love man" But nahisi kwa mbali kama naanza kufall vile.., Ila hapa ndo mnaniogopesha..:scared:
haaaahaaaa weee tupo tuliobahatisha banaIla wanachuo wote si wanaume wala wanawake wengi wao ni wazinguaj tu kimahusiano
Kweli, hiyo inaitwa danganya toto ili siku zipite.
Heshima mbele wakuu.juzi nikiwa zangu kwenye moja ya lecture hall maarufu hapa chuon kwetu nikisubir pindi lianze,nlibahatika kunasa maongezi ya wadada flani hvi ambao walikua wamekaa jirani yangu,maongez yao yalikua hvi ''aku bibi,me narudi zangu kwa mpenzi wangu wa zaman,huyu{akataja jina la msela}ingawa ananipenda sana but kikwel i dont feel anythng on him,nilikua nae ili tu kufanya maisha ya hapa chuo yawe marahisi,si unaona hata vile ambavyo nimeanza kumpotezea taratibu,nataka mpaka ikifika mwezi wa 6 mwishon nimwambie kila kitu tulichofanya wkt wa uhusiano wetu kibaki kuwa historia,kwa kifupi he has to forget everythng abt me,eti jana kajikosha kunitoa out,nikaenda nikamlia vipesa vyake,bac c akataka tufanye na sex,me nkamdanganya nabreed ili kumkomesha tu,infact me kwetu arusha na ye kwao sijui ni songea,atanipatia wapi tena mie,kwanza mtu mwenyewe amesoma political science,mpaka aje apate ajira ni leo?''ikawa bahati nzuri ticha akawa kaingia class so story zao zkawa zmestopia hapo ingawa hata wkt ticha anapga pindi nliwaona bado wakiwa busy na story sema nilishndwa kuzinasa kutokana na kuconcentrate kumckilza mwalimu.sasa nkajiuliza,kumbe hizi couple tunazoziona hapa chuo ndo kikiisha fika kipindi ka hiki cha kumalza malza ndo mwisho wake unakua hvi wakuu?
Wengine tunao tuliotoka nao chuo mwaka wa kwanza mpaka leo tunadunda na mwakani dogo anaanza skuli. Kila nikimcheki dogo nakumbuka mbali nakucheka kuanzia lecture hall ambazo hazijaisha kule yombo mpaka kilamahewa, ikiwa fresh hillpark isiposoma mama lishe kwa mama k. Gud memories.