Akutwa live chumbani na mume wa mtu akiwa na kanga moja

Akutwa live chumbani na mume wa mtu akiwa na kanga moja

ukisikia kesia ambazp hazina kishwa wala miguu ndio hizo,hao polisi nao ni sifuri unafungaje safari kutoka kituoni kwenda kumkamata mtu aliye lala nje ya ndoa?
 
Video/picha ikiletwa ya aliye vaa kanga moja mnishtue..
 
Mapenzi ni ibada na kidume wa kiislamu hastahili kukaa bila mke hata sekunde.Naipenda sana hii slogan ya mashehe.Mungu wakumbuke waislam daima.
 
Huyu polisi wa kike hana hata dalili ya tako. Mumewe huwa amependezwa na nini ? Mwanamke "BAMBSTAA "
 
Stori ndeeeeefu ila ni mambo ya umbea tu....
 
Back
Top Bottom