Msichana mmoja amekutwa Tumboni mwake na vijiko 2 vya chai,misumar ya bati na vyuma kadhaa vyenye uzito wa gram 6,amesema alikua anasikia maumivu sana tumboni,daktari alomfanyia upasuaji amemshangaa sana.
Akielezea kadhia hyo mama wa binti huyo ameshangaa,tukio hlo limetokea MusoMa
sosi:wapofm
Akielezea kadhia hyo mama wa binti huyo ameshangaa,tukio hlo limetokea MusoMa
sosi:wapofm