Leo ndio leo!
Wanaume wa shoka wanakutana kutafuta Nani mbabe!
Timu zote zimeshafuzu Robo Fainali, kinachosubiriwa ni Nani ataibuka mbabe baina yao, kwa kuwa mechi ya Leo haitabadilisha msimamo wa kundi. Simba inaingia uwaanjani ikiwa na Nia moja tu, kuendelea kujijenga kuwa Timu Kubwa Afrika.
Upande wao Al Ahl wao watakuwa na kazi kudhihirisha kuwa wao hi miamba ya soka Afrika.
Tujongee karibu tuone wanume Hawa wakitoana jasho
=======
00'Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwanzo wa mchezo
9' Luis anaangushwa wakati akielekea ndani ya box la Al Ahly
11' Cloutus Chama anapiga mpira wa adhabu lakini haujazaa matunda na kusababisha Counter attack ya Mohammed Sharif ambayo nayo haijazaa goli
21' Mohammed Shariff almanusa aiandikie Al Ahly goli la kwanza lakini mpira unakwenda nje kidogo ya lango
24' Inatokea piga nikupige kwenye goli la Simba, Al Ahly wanashindwa kubadilisha ubao
27' Aishi Manula anafanya jitihada kuzuia mpira na kuzaa kona ambayo haijatoa matunda kwa Al Ahly
31' Mohammed Shariff anaipa Al Ahly bao la kuongoza baada ya mabeki wa Simba kushindwa kuondoa mpira kwenye eneo la hatari
45+2' Mapumziko
46' Kahata anaingia kuchukua nafasi ya Larry Bwalya
53' Mzamiru Yassin anaingia kuchukua nafasi ya Jonas Mkude
81' Mugalu anaingia kuchukua nafasi ya Nyoni
86' Luis anaachia mkwaju mkali na kugonga mwamba wa juu
86' El Shanawy anapewa kadi ya njano baada ya kumlalamikia mwamuzi kuchezewa ndivyi sivyo kwenye eneo lake
90+3' Mpira umekwisha, Al Ahly wanaibuka kidedea kwa kuichapa Simba goli moja kwa sifuri
======
KWENGINEKO
FT' AS Vita 3-1 Al Merrick
Wanaume wa shoka wanakutana kutafuta Nani mbabe!
Timu zote zimeshafuzu Robo Fainali, kinachosubiriwa ni Nani ataibuka mbabe baina yao, kwa kuwa mechi ya Leo haitabadilisha msimamo wa kundi. Simba inaingia uwaanjani ikiwa na Nia moja tu, kuendelea kujijenga kuwa Timu Kubwa Afrika.
Upande wao Al Ahl wao watakuwa na kazi kudhihirisha kuwa wao hi miamba ya soka Afrika.
Tujongee karibu tuone wanume Hawa wakitoana jasho
=======
00'Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwanzo wa mchezo
9' Luis anaangushwa wakati akielekea ndani ya box la Al Ahly
11' Cloutus Chama anapiga mpira wa adhabu lakini haujazaa matunda na kusababisha Counter attack ya Mohammed Sharif ambayo nayo haijazaa goli
21' Mohammed Shariff almanusa aiandikie Al Ahly goli la kwanza lakini mpira unakwenda nje kidogo ya lango
24' Inatokea piga nikupige kwenye goli la Simba, Al Ahly wanashindwa kubadilisha ubao
27' Aishi Manula anafanya jitihada kuzuia mpira na kuzaa kona ambayo haijatoa matunda kwa Al Ahly
31' Mohammed Shariff anaipa Al Ahly bao la kuongoza baada ya mabeki wa Simba kushindwa kuondoa mpira kwenye eneo la hatari
45+2' Mapumziko
46' Kahata anaingia kuchukua nafasi ya Larry Bwalya
53' Mzamiru Yassin anaingia kuchukua nafasi ya Jonas Mkude
81' Mugalu anaingia kuchukua nafasi ya Nyoni
86' Luis anaachia mkwaju mkali na kugonga mwamba wa juu
86' El Shanawy anapewa kadi ya njano baada ya kumlalamikia mwamuzi kuchezewa ndivyi sivyo kwenye eneo lake
90+3' Mpira umekwisha, Al Ahly wanaibuka kidedea kwa kuichapa Simba goli moja kwa sifuri
======
KWENGINEKO
FT' AS Vita 3-1 Al Merrick