Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Khamsa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeshangaaHalafu inakuwaje Morison anaonekana yupo Bench wakati ana njano na alitakiwa akose match hii? Sielewi mie
Due to covd 19, yellow card ni 3 sio mbili ka zamaniHalafu inakuwaje Morison anaonekana yupo Bench wakati ana njano na alitakiwa akose match hii? Sielewi mie
Amebebwa sana ila habebeki, zile mambo za "mshambuliaji mkabaji[emoji23]" hata kocha kaona hazina maana tena. Ngoja tusubiri wachambuzi fauata upepo watakuja na kauli gani za kusupport Benchi kwa Mugalu.Mugalu leo anachoma mahindi
Ushindi kama huo simba inaupataga kwa nkapaKhamsa!!!
Simba 2-1Leo ndio leo!
Wanaume wa shoka wanakutana kutafuta Nani mbabe!
Timu zote zimeshafuzu Robo Fainali ,kinachosubiriwa ni Nani ataibuka mbabe baina yao,kwa kuwa mechi ya Leo haitabadilisha msimamo wa kundi.
Simba inaingia uwaanjani ikiwa na Nia moja tu ,kuendelea kujijenga kuwa Timu Kubwa Afrika .
Upande wao Al Ahl wao watakuwa na kazi kudhihirisha kuwa wao hi miamba ya soka Afrika.
Tujongee karibu tuone wanume Hawa wakitoana jasho
Bila shaka natumaini kagere atajituma kwa hali na mali kumshawishi kocha kuwa yeye ni bora kuliko mugaluAmebebwa sana ila habebeki, zile mambo za "mshambuliaji mkabaji[emoji23]" hata kocha kaona hazina maana tena. Ngoja tusubiri wachambuzi fauata upepo watakuja na kauli gani za kusupport Benchi kwa Mugalu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule ndo anatakiwa aingie sub baada ya timu kupata matokeo ili akakabe mabeki,si wanasemaga ni hodari wa kukaba illa sio mfungaji.Mugalu leo anachoma mahindi
Dunia inazunguka, ila naona akili yako haikubaliani kabisa na mabadiliko hayo, maana bado unawaza dunia ilikotoka.Khamsa!!!
Khamsa au thalatha?Khamsa !!
al ahly leo wajiandae kisaikolojia maana mambo yanaenda tofauti na walivyodhaniYule ndo anatakiwa aingie sub baada ya timu kupata matokeo ili akakabe mabeki,si wanasemaga ni hodari wa kukaba illa sio mfungaji.
MK14 akipata nafasi 2 na nusu anafunga hat trick.
Tusijidanganye... Al-Ahly haijawahi shindwa Cairo!!Dunia inazunguka, ila naona akili yako haikubaliani kabisa na mabadiliko hayo, maana bado unawaza dunia ilikotoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thalatha atapigwa Ktk robo final...!!Khamsa au thalatha?