Al Ahly Fans Tukutane Hapa

Al Ahly Fans Tukutane Hapa

Maneno ya mwisho ya babu yangu aliniambia mjukuu wangu akikisha Al ahly ndo inakua timu ya maisha yako , akaniachia na jezi ya Al ahly, kusema kweli naipenda sana timu yenye makombe mengi duniani

MUNGU IBARIKI TANZANIA [emoji1241] MUNGU IBARIKI AL AHLY
 
Sisi ihefu tutakuwa wazalendo kwa nchi yetu.tupo kwa mnyama😉😉😉
 
Hii imekuwa wiki ya mateso makubwa kwa gongowazi kila anayevimbiwa viporo lazima aje kujamba humu.
 
Uzi huu utakuwa ni maalumu kwa wale wote wenye mapenzi mema na timu hii kutoka MISRI[emoji1093]
Ikumbukwe kuwa hii ndio timu yenye mafanikio zaidi kuliko timu zote barani Afrika

Hapo Ijumaa (kesho) tuna jambo letu hapo nchini Tanzania. Kile kipigo tulichotoa kipindi kile cha hamsa ( Goli tano) ilikuwa ni trailer tu, picha kamili litaanzia kesho hapo kwa mkapa. Tutawakun'guta vilivyo kuliko tulivyowafanya Mwaka 2019.

Jeshi Zima la wapambanaji kutoka kwa Farao tayari limeshatua kutoa darasa kwa hawa pira papatu papatu wa bongo.

Karibuni waarabu wenzangu.

View attachment 2786452
Uzuri wa uzi huu utatumika na mashabiki wote wa Simba na Yanga kwa vipindi tofauti. Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom