Al Ahly ikiitoa Simba itakuwa ni dharau kubwa sana

Al Ahly ikiitoa Simba itakuwa ni dharau kubwa sana

"Underdog" ni neno la kiingereza linalotumia katika maeneo na muktadha tofauti na maana yake kwa kiasi kikubwa huwa ni ile ile pale inapotumika. Kwa hiyo kusema eti sijui mpira inaweza isiwe hoja nzito sana kutoka kwako.

Simba siyo underdog kwa Al Ahly katika mechi hii ya 29/03. Kwa upande wa Yanga pamoja na kwamba sitamshangaa wala kumbishia nikisikia mtu akiwaita Yanga ni underdog kwa Mamelodi katika mechi yao ya 30/03 lakini binafsi bado nao nitasita kuwaita hivyo.
Brother elewa hivyo zikicheza Timu mbili moja ikiwa na mafanikio ya mpira kuliko ingine hasa makombe hiyo ingine inaingia kama underdog tu ingawaje lolote kwenye mpira linaweza kutokea..
 
Brother elewa hivyo zikicheza Timu mbili moja ikiwa na mafanikio ya mpira kuliko ingine hasa makombe hiyo ingine inaingia kama underdog tu ingawaje lolote kwenye mpira linaweza kutokea..
Usinilazimishe nielewe jambo kwa mtazamo wako wakati umeonyesha mapungufu katika uelewa wa jambo hilo hilo na umekaza fuvu kueleweshwa.

Hivi Al Ahly akikutana na Mamelodi kwenye fainali, utamuita Mamelodi ni underdog kisa Al Ahly amechukua makombe mengi?

Panua wigo wako wa maneno ili uweze kutumia maneno kwa usahihi.
 
Kwa ule mpira nyoronyoro,mdebwedo,mlenda mlenda,pole pole na kujivuta wachezaji wa Simba hadi dk 35 watakuwa wamekandwa goli moja.
 
Mechi kati ya Al Ahly na simba ni kisasi ambacho ni kati ya dubwana lenye nguvu dhidi ya kijana mdogo, mechi ya kariba hiyo ni rahisi japo ngumu, bwana mdogo asipotumia akili kubwa na mikakati anatifuliwa mtaro. Al Ahly kupangwa na simba ni kama bahati kwao maana wanauzoefu wa kuitoa simba, ni Simba yenye deni la kufuta uteja huo.

Simba inapaswa kutumia kila mbinu kuhakikisha awamu hii lazima Al Ahly apishe njia vinginevyo tunatolewa kama kawaida na dharau itaendelea kudumu kwamba hatuwawezi Al Ahly

Ukiangalia mechi mbili zilizopita za Super League Simba ilipambana vizuri mno ila ikaruhusu magoli ya kijinga kabisa magoli ya uzembe usio kifani

Itaendelea kuwa kibonde wa AL Ahly mpaka lini? hakika inatosha

Ni muda muafaka wa Simba kulazimisha heshima haijalishi Al Ahly wana ukubwa gani, awamu hii inabidi wapishe njia

Kamati ya ufundi ihakikishe kila mchezaji wa simba ataepata nafas kwenye mechi dhidi ya Al Ahly ajue sio mechi ni kisasi lazima kupambana kama jihadi, matokeo ni lazima sio majaliwa lazima Mwarabu apigike

Inawezekana kabisa mbona wale wabrazil Fluminense waliwapakua goli 3 kirahisi kabisa kwenye klabu bingwa dunia?View attachment 2941076
Simba siyo kibonde wa Al Ahly
 
"Underdog" ni neno la kiingereza linalotumika katika maeneo na muktadha tofauti na maana yake kwa kiasi kikubwa huwa ni ile ile pale inapotumika. Kwa hiyo kusema eti sijui mpira inaweza isiwe hoja nzito sana kutoka kwako.

Simba siyo underdog kwa Al Ahly katika mechi hii ya 29/03. Kwa upande wa Yanga pamoja na kwamba sitamshangaa wala kumbishia nikisikia mtu akiwaita Yanga ni underdog kwa Mamelodi katika mechi yao ya 30/03 lakini binafsi bado nao nitasita kuwaita hivyo. Naweza kusema Yanga siyo favorite kushinda hiyo mechi ila sitawaita underdogs, hivi ni vitu viwili tofauti.
Kuna watu hamjui na hamtaki kujulishwa
 
Neno "underdog" mnalitumiatumia labda bila kuelewa maana yake hasa. Hakuna kigezo chochote unachoweza kutumia kumuita Simba "underdog" katika mechi hiyo.
Tuambie neno underdog linatakiwa litumikaje? Kwenye mpira wa miguu ikitokea timu A anacheza na timu B lazima mmoja wapo atakuwa ni underdog kwa maana atakuwa kazidiwa kiubora, kulingana na current performance. Sasa mechi ya Simba dhidi ya Al Ahly unataka kusema Al Ahly ndio anaingia kama underdog?
 
Mechi kati ya Al Ahly na simba ni kisasi ambacho ni kati ya dubwana lenye nguvu dhidi ya kijana mdogo, mechi ya kariba hiyo ni rahisi japo ngumu. Al Ahly kupangwa na simba ni kama bahati kwao maana wanauzoefu wa kuitoa simba, ni Simba yenye deni la kufuta uteja huo.

Simba inapaswa kutumia kila mbinu kuhakikisha awamu hii lazima Al Ahly apishe njia vinginevyo tunatolewa kama kawaida na dharau itaendelea kudumu kwamba hatuwawezi Al Ahly

Ukiangalia mechi mbili zilizopita za Super League Simba ilipambana vizuri mno ila ikaruhusu magoli ya kijinga kabisa magoli ya uzembe usio kifani

Itaendelea kuwa kibonde wa AL Ahly mpaka lini? hakika inatosha

Ni muda muafaka wa Simba kulazimisha heshima haijalishi Al Ahly wana ukubwa gani, awamu hii inabidi wapishe njia

Kamati ya ufundi ihakikishe kila mchezaji wa simba ataepata nafas kwenye mechi dhidi ya Al Ahly ajue sio mechi ni kisasi lazima kupambana kama jihadi, matokeo ni lazima sio majaliwa lazima Mwarabu apigike

Inawezekana kabisa mbona wale wabrazil Fluminense waliwapakua goli 3 kirahisi kabisa kwenye klabu bingwa dunia?View attachment 2941076
AL AHLY KAMA TULIVYOKUBALIANA SIKU ILE DROO INAPANGWA
 
Sitabishana na wewe ila kaulizeulize watu wako wa karibu watakuelekeza ili siku nyingine ujue ni mahali gani sahihi pa kulitumia hilo neno.
Mkuu, Simba ni underdog kwa Al Ahly kama ilivyo Yanga ni underdog kwa Mamelodi. Ubishi wa nini? Unapata shida kuitwa underdog? Pambana uwe mkubwa ili ukwepe hilo jina.

Cc Isanga family
 
Back
Top Bottom