Al Ahly imeilaza Du sahel mabao 6 na kutinga fainali sasa kukutana na Casablanca 27/10 fainali ya CAF

Al Ahly imeilaza Du sahel mabao 6 na kutinga fainali sasa kukutana na Casablanca 27/10 fainali ya CAF

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
Klabu ya Al Ahly imeifurumusha mabao 6-2 klabu ya Etoil du sahel katika nusu fainali na hivyo kutinga fainali ya klabu bingwa Afrika.

Hivyo hivyo klabu ya wydad Casablanca iliifurumusha klabu ya usm Alger mabao 3-1 na kutinga fainali.


Sasa fainali tutashuhudia miamba hii 2 ya Al Ahly na wydad Casablanca,fainali ya kwanza itachezwa tarehe 27/10 na marudiano 3/11

Msikose fainali ya UEFA yetu

*Total dominance kutoka timu za ukanda wa Afrika kaskazini,je Yanga sc watavunja dominance hii mashindano yatakayoanza January
 
Bingwa Al ahly.

Waarabu wanatuokoa mno Afrika. Kule urussi naamini 3 teams za waarabu zitaenda.
 
Ha ha ha ha ha ingelikuwa timu za weusi naamini hii Thread ingelijaa comments fulu mzuka mazee 😀. Ivi waarabu walitukoseaga nini?? Why hatuwapi ushirikiano though wanafanya vizuri mno zaidi yetu???
 
Back
Top Bottom