Al Ahly mdomoni mwa wachambuzi wa bongo, watakaangwa kwa kosa hili kama la Simba

Al Ahly mdomoni mwa wachambuzi wa bongo, watakaangwa kwa kosa hili kama la Simba

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kila mtu anajua kwamba kwa afrika nzima hakuna nchi yenye wachambuzi wanaojua kuchambua issues mbalmbali kwa ufasaha kama wanaopatikana Tanzania

Ni ma pundits haswa yametulia kwelikweli, yamesoma na yana make sense kwenye hoja zao, ikumbukwe wakati simba inaenda pre season bado llikuwa na jezi za sportspesa so ikabidi pasi ihusike kuzitoa na kubandika m-bet kwa juu

Hali hiyo ilizua taharuki kwa ma professional pundits yaani wachambuzi wetu world class walichambua kwa uchungu sana huku wakimlaumu fred vunja bei na Barbra Gonzalez

Sasa al ahly wameingia katika anga za wachambuzi wetu mahiri ambao kama nchi nabidi tujivunie kuwa nao
Jamaa wamecheza mechi ya kirafiki huku jezi zao zikiwa zimezibwa ka sehemu kadoogo cha sponsor wasiye naye tena, ina maana jezi mpya bado hazijatoka, uzembe wa hali ya juu ila ngoja tusubirie maoni ya kitaalamu toka kwa wachambuzi wetu mahiri
ahly logo.JPG
 
Fanyeni juhudi mkashinde mechi.Hayo mambo ya michambuo ya jezi mtaifanya mkishinda.Bure kabisa utopololo!
 
umekula mkuu ? au njaa inakusumbua
Unadhani naandikia mdomo au tumbo?Pangeni mbinu za kushinda kule Sudan.Mambo ya jezi myaache.Na wanahabari wanaowadanganya kwa sifa za uongo muwapuuze.Tafuteni mbinu za ushindi.Waambie utopolo hayo maneno hata kama unawakejeli.
 
Unadhani naandikia mdomo au tumbo?Pangeni mbinu za kushinda kule Sudan.Mambo ya jezi myaache.Na wanahabari wanaowadanganya kwa sifa za uongo muwapuuze.Tafuteni mbinu za ushindi.Waambie utopolo hayo maneno hata kama unawakejeli.
yanga tuko vizuri mkuu usijali hilal anakufa 3-1 kwao
 
Kila mtu anajua kwamba kwa afrika nzima hakuna nchi yenye wachambuzi wanaojua kuchambua issues mbalmbali kwa ufasaha kama wanaopatikana Tanzania

Ni ma pundits haswa yametulia kwelikweli, yamesoma na yana make sense kwenye hoja zao, ikumbukwe wakati simba inaenda pre season bado llikuwa na jezi za sportspesa so ikabidi pasi ihusike kuzitoa na kubandika m-bet kwa juu

Hali hiyo ilizua taharuki kwa ma professional pundits yaani wachambuzi wetu world class walichambua kwa uchungu sana huku wakimlaumu fred vunja bei na Barbra Gonzalez

Sasa al ahly wameingia katika anga za wachambuzi wetu mahiri ambao kama nchi nabidi tujivunie kuwa nao
Jamaa wamecheza mechi ya kirafiki huku jezi zao zikiwa zimezibwa ka sehemu kadoogo cha sponsor wasiye naye tena, ina maana jezi mpya bado hazijatoka, uzembe wa hali ya juu ila ngoja tusubirie maoni ya kitaalamu toka kwa wachambuzi wetu mahiri
View attachment 2381707
Wachambuzi wa hapa nchini wengi wamelipwa na gsm waiseme vibaya Sumba.
Subiri leo hata kama Simba wakishinda goli moja utasikia ushindi mwembamba sana,hawako vizuri kama yanga
 
Back
Top Bottom