Bayern ni maji marefu yale Mkuu na wangesema wanashindana nao basi ingekuwa aibu kwa bara la Afrika kwani wangeoga goli za kutosha.Wamenikera kweli yaani mie naja jamaa watasema potw ya pote hapa na sie tuupige. Loh! Ndio kwanza wanakaa kwenue nusu yao.
Ila tuseme ukweli tuu...mpira ni magoli but ata fina ya caf champions league aliyeupiga mpora alikjwa zamalek na sio al ahly.
Ishu ilikuwa Simba vs Al Ahly,Kwani Yanga haijawahi kuifunga al ahly?
mwaka gani hiyoYanga walimchapa kimoko taifa Canavaro aliwaua,home Bahanuzi akazingua kwenye penalty
Ndio maana wameshonewa vijorayanga wana wivu wa kike sana
Iongeze na Simba hapomagnifico umeongea ukweli, al ahly wanastahili kucheza uefa champions league....ubora wao hupimwa na timu kubwa, so washaonyesha wao ni bora.
Al ahly
Wydad Casablanca
Zamalek
Esperance de tunis
These teams naziheshimu mno...ingewezekana wakazishirikisha pia tungefaidi sana [emoji846][emoji846]
Huyu jamaa hapa ana miaka 26 tu...Bayern ni maji marefu yale Mkuu na wangesema wanashindana nao basi ingekuwa aibu kwa bara la Afrika kwani wangeoga goli za kutosha.
Kwa haters wa mnyama,ze thread iz clozid hiaaKwaiyo unamaanisha Al ahly Ni Bora kuliko BARCELONA aliepigwa 8[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point moja ya mwili,hii timu ya Bayern sifa yake kuu huwa ni kuwajenga miili wachezaji wake kwanza tofauti na timu nyingine Ulaya.Huyu jamaa hapa ana miaka 26 tu...
Pale al ahly mwenye 26 hana mwili huu jamani mi nasema izo bao mbili zinatosha sana maana bayern hakutaka kukaza pale alikua anafanya mazoezi tu..angekaza je View attachment 1698895
Hakika Mkuu zinatosha kwa faida ya Bara la Afrika 😅 mana nje ya pale ingekuwa aibu ya mwaka.Huyu jamaa hapa ana miaka 26 tu...
Pale al ahly mwenye 26 hana mwili huu jamani mi nasema izo bao mbili zinatosha sana maana bayern hakutaka kukaza pale alikua anafanya mazoezi tu..angekaza je View attachment 1698895
bayern wangekaza first half tu bao nane...Hakika Mkuu zinatosha kwa faida ya Bara la Afrika [emoji28] mana nje ya pale ingekuwa aibu ya mwaka.
Kwani jamaa ni hatari wale.
Bayern ni maji marefu yale Mkuu na wangesema wanashindana nao basi ingekuwa aibu kwa bara la Afrika kwani wangeoga goli za kutosha.
Tuwekee na ile statistics ya Barcelona alivyopigwa nane na ile ya Dortmund na Atletico Madrid wote wakivyopigwa magoli manne. wanastaili pongezi kwasababu wamejitahidi kuwapa wakati mgumu Bayern Munich kupata magoli na mpaka goal la pili wanapata dakika za mwishoni kabisa. Walikuwa na nidhamu nzuri ya kujilinda japokuwa walikuwa wameshindwa katika kutengeneza mashambulizi. kwani wewe haujiu Bayern Munich uwezo wao unavyotisha?Angalia statistics kwanza ndio uwasifie View attachment 1697978