Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga sana huyo mamathreads zako 99% ni uwongo na uzushi , sijawahi kuona mjinga kama huyu
Mpira umekuwa ni vita namna hii?uwo mda unatumia kuangaika na simba siungetumia kumtibu uyo mchezaj wen mdomo kama mkundu wa nyani uyo kwenye avata yako
Chanzo chako cha habari ni kile kike kilichokupa habari kuwa Simba wamefungwa 12-0?Taarifa kutoka kwa afisa habari wa Al Akhdood Club.
Kuna Taarifa kutoka kwa afisa habari wa klabu ya Al -Akhdood club akilalamika kwanini Simba sc wametumia Jina na nembo yao na kusema wamecheza nao mechi.
Wanasema wao hawajacheza mechi hiyo na hawako katika jiji la Ismalia bali wako katika jiji laa Cairo wakijiandaa na Pre season hiyo timu iliofungwa Sita sio timu yao.
Simba SC hapa mlipuyanga kwa kweli. Inaabidi mtoe maelezo ili wanachama na mshabiki wenu wapate kuwaelewa
View attachment 2301872View attachment 2301873
Tatizo lako lilianzia hapaMtuambie hizo 6-0 mlimfunga nani jana? Wenye timu yao wamesema jana hawakucheza na hawapo kwenye huo mji, sa itakuaje
Hivi jamani hata mechi ya training ndio inawatoa roho namna hii? Yaani mtu anafuatilia hadi soksi za mazoezini? Naona kama watu tumekosa kazi za kufanyaila kweri embu fikili timu ya falme za kiarabu wachezaji wavae soksi tofauti angaria katika picha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ila kweri embu fikili timu ya falme za kiarabu wachezaji wavae soksi tofauti angaria katika picha apoView attachment 2302029