Al Bashir akabiliwa na hukumu ya kifo kwa kupindisha taratibu za kidemokrasia

Al Bashir akabiliwa na hukumu ya kifo kwa kupindisha taratibu za kidemokrasia

Huyu al bashir kaikwepa ICC kule the Hague, anakutana na mahakama za ndani
 
Ndiyo taa nyekundu tayari watu wengi hawaipendi ccm japo hao hao hawajawa na uhakika na upinzani. Waloko ccm ni kwa imani tu na hofu ya kwenda motoni kama waaminio katika dini.siku zinavokwenda watu wanazingatia uhalisia wa mambo na sio imani. Hii taa nyekundu.
Mbegu zinazomwagwa ni magugu hatari yatakayoindoa ccm. Ushindi unaotamkwa wa kishindo unatokana na mbegu zilizomwagwa.
Ccm contains the seed of its own destruction
 
Ndiyo taa nyekundu tayari watu wengi hawaipendi ccm japo hao hao hawajawa na uhakika na upinzani. Waloko ccm ni kwa imani tu na hofu ya kwenda motoni kama waaminio katika dini.siku zinavokwenda watu wanazingatia uhalisia wa mambo na sio imani. Hii taa nyekundu.
Mbegu zinazomwagwa ni magugu hatari yatakayoindoa ccm. Ushindi unaotamkwa wa kishindo unatokana na mbegu zilizomwagwa.
Ccm contains the seed of its own destruction
Upinzani uko tayari mkuu, uwe tayari mara ngapi!!? Wananchi wanauamini sana upinzani, ni dola tu inawakatisha tamaa. Ukitaka kuelewa nisemalo anza kufanya utafiti juu ya hawa wenyeviti walioteuliwa kidikteta uone taabu waliyoanza kuipata toka kwa watu.
 
Bashir wamemtumia maskini mwenyewe akajiona Codivywaaaaa leo yanamtokea puani shkamoo wazungu.
 
Bashir wamemtumia maskini mwenyewe akajiona Codivywaaaaa leo yanamtokea puani shkamoo wazungu.
Awe mchina, mhindi, mzungu, msauthi wanachotaka ni pesa. wenyewe mkipigana wanakaa standby kuuza silaha na vietendea kazi vyote vya vita. They dont give a shit who kills who. Sisi mazombie wa kiafrika kazi yetu ni kutoa resources zetu kuwanufaisha.

Lini tutaacha kupigana? wenzetu wazungu walishaacha ila wahindi hawaashi kuchokozana na wapakistani, wakorea kusini dhidi ya kaskazini. Tumeshuhudia vita ya shriranka iliyodumu miaka kisa sehemu ndogo tu ambayo aliishi wahindu sababu wengi ni wa buddha. Third world bado tuna safari ndefu kufikia mahali tukachoka kupigana na kuuza silaha na sisi sijui kwa ng'ombe au kuku au mbuzi maana tutakuwa wa mwisho kuacha kuumana.
Kongo wanamalizana ila anayefaidi mchina na mrusi, mmarekani na wengine wanachota wanachokitaka wanaacha ardhi tupu. When will we learn???????????
 
i[o siku majizi CHADEMA watakuja kujuta kama Omary al Bashiri. viongozi wao waanakula pesa za ruzuku, wamekaa kidikteta madarakani hawataki kuachia... yaani ni ufisadi na kukandamiza demokrasia
 
Kuhamia dodoma watu washanusa mapema kuwa pale kivukoni Panton inaweza vusha waandamanaji na wakajaa kwenye yake mageti
 
Itatokea siku tukiwa na akili ya kusema inatosha. Hawataweza tuua wote. Na ndio maana wamekimbilia Dodoma. Hata wanajeshi nao watapima upepo wakiona watu hawachoki watamchomoa tu
Kwa Tanzania hii bado sana. Kwa sasa ni sawa na ndoto tu
 
Mungu ni mkuu, kuliko kitu chochote hapa duniani........

Hawa wanaofanya udhalimu wa hali ya juu hapa nchini na "kuigiza" kwenda kwenye nyumba za ibada kila Jumapili na kutoa mwito kwa wananchi wake wamuombee, hakika yatawakuta haya ya Sudan!

Kwa Tanzania kuwa kama Sudan bado sana
 
Awe mchina, mhindi, mzungu, msauthi wanachotaka ni pesa. wenyewe mkipigana wanakaa standby kuuza silaha na vietendea kazi vyote vya vita. They dont give a shit who kills who. Sisi mazombie wa kiafrika kazi yetu ni kutoa resources zetu kuwanufaisha.

Lini tutaacha kupigana? wenzetu wazungu walishaacha ila wahindi hawaashi kuchokozana na wapakistani, wakorea kusini dhidi ya kaskazini. Tumeshuhudia vita ya shriranka iliyodumu miaka kisa sehemu ndogo tu ambayo aliishi wahindu sababu wengi ni wa buddha. Third world bado tuna safari ndefu kufikia mahali tukachoka kupigana na kuuza silaha na sisi sijui kwa ng'ombe au kuku au mbuzi maana tutakuwa wa mwisho kuacha kuumana.
Kongo wanamalizana ila anayefaidi mchina na mrusi, mmarekani na wengine wanachota wanachokitaka wanaacha ardhi tupu. When will we learn???????????
When wil we learn ????......................Sijui kama itafika siku tukakuja kujifunza juu ya hili Sudan ilitakiwa iwe ni funzo kwa mataifa mengine kitambo, mimi binafsi hakuna jambo lilinichanganyaga kama lile la Kiir na Lieck Mashal watu mliokua mnafight pamoja kwaajili ya Bashir mmepata mtakacho tena mnakuja kuvutana wenyewe kwa wenyewe nilijisemea hii vita haina mwisho.
 
Kwa Tanzania hii bado sana. Kwa sasa ni sawa na ndoto tu
Kuna wakati hata walio wajinga sana huelimika. Wakati ukifika itafanikiwa maana CCM hatuwezi ishinda kwenye kura.

Dawa ni maandamano, kuifuta na wote waliowahi kugombea kupitia CCM wasipewe nafasi yoyote ya uongozi.
CCM ifutwe na mali zote zimilikwe na Halmashauri za Eneo husika
 
Kuna wakati hata walio wajinga sana huelimika. Wakati ukifika itafanikiwa maana CCM hatuwezi ishinda kwenye kura.

Dawa ni maandamano, kuifuta na wote waliowahi kugombea kupitia CCM wasipewe nafasi yoyote ya uongozi.
CCM ifutwe na mali zote zimilikwe na Halmashauri za Eneo husika
Kwetu wajinga sio shida ni wapumbavu ndio wengi maana hata wasomi wetu wengi wao wametoa ujinga lakini upumbavu bado upo.ndio maana kwetu kuifikia Sudan bado sana
 
Back
Top Bottom