UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane !
Tarehe 26 ni siku ambayo timu yangu ya Yanga unakwenda Kucheza mechi ya kwanza ya michuano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya Al Hilal Omdurman,siku hii naelewa kabisa Yanga atafungwa si chini ya Goli 3 na ndiyo siku ambayo kocha Gamondi anaenda kutimuliwa rasmi!
Binafsi nilionya sana na nikapendekeza ya kwamba,baada ya kipigo Cha goli 3 kutoka Kwa walina Asali wa Tabora,ilipaswa Kocha Gamondi asikanyage tena Avic town,ilipaswa abebwe kwenye Guta na mabegi yake arudishwe kwao!
Kwakuwa mmejifanya kichwa ngumu na kuendelea kumuamini kocha ambaye mbinu zimemuishia,naamini hiyo Tarehe 26 mtatafutana pale Taifa!
Siku hiyo mtakapoamua kumfurusha Gamondi baada ya kipigo Cha aibu kutoka Kwa Al Hilal naomba na wachezaji wafuatao wasirudi Avic town,tena wakati wa kwenda Taifa waende na virago vyao wakiwa tayari Kwa safari!
1. AZIZ Ki
Huyu jamaa kwasasa hapaswi kabisa kuvaa kitu chochote chenye nembo ya Yanga !
Tulimng'ang'ania Kwa nguvu zote akaongeza mkataba Kwa gharama kubwa lakini anachokifanya uwanjani akiendani na malipo anayopewa!,Pesa anayolipwa ni heri akaongezewa mshahara Maxi Mpira Nzengeli
Yeye aende akavute shisha vizuri huko Burkinafaso na ikiwezekana aondoke na Malaya wake Hamisa!
Msipomtimua siku hiyo basi Hersi ajiandae kuiachia timu,hatuwezi kuvumilia huu ujinga Kwa wachezaji wasiokuwa na nidhamu halafu mkawachekea tu!
Ronaldo umri umeenda lakini pumzi aliyonayo Huwezi linganisha na hizi takataka kwasababu jamaa ana nidhamu binafsi na amejiweka kando na mambo ya kijinga!
Mbona kabla ya kuongezea mshahara hakuwahi kufanya huu ujinga?,chezaji gani kila siku lenyewe ni klabu tu kuelewa na kuvuta shisha?
2. CHADRACK BOKA
Huyu siku hiyo ya mechi pia anapaswa kwenda na Virago vyake Taifa,baada ya kipigo apandishwe Lori linaloelekea Tunduma,akifika Tunduma apandishwe gari la Sumbawanga hadi Kabwe,akifika Kabwe apandishwe mtumbwi kuelekea kwao Congo
Hatuwezi Kuwa na Mchezaji anachojua yeye ni mbio tu na siyo tekniki za mpira,huyu jamaa kipaji Chake siyo mpira Bali ni riadha,huku kwenye Mpira kavamia tu,kwenye riadha angefanya vema zaidi kuliko huku kwenye kabumbu!
Nitashangaa sana siku hiyo akiondoka Gamondi na huyu akibaki,nitashangaa sana!
3. KHALID AUCHO
Huyu yeye kwakuwa hapo Uganda ni Jirani,ni vema nae siku hiyo akaja na furushi lake la Virago kwasababu baada ya mechi inapaswa apandishwe Lori linaloelekea Uganda kupitia Mutukula!,hapaswi kupanda ndege kwasababu itakuwa ni uharibifu wa rasilimali fedha!
Hatuwezi Kuwa na Mchezaji ambaye anatumia nguvu nyingi kuliko Akili,kila uchwao anapokuwa kiwanjani badala ya Kuwa mfano Kwa wachezaji wenzie yeye anajifanya mwehu!,kama anazo nguvu ni vema akaenda Kucheza mieleka na kina John Cena lakini kwenye Mpira hizo nguvu hatuzihitaji!
Badala aboreshe kiwango Chake,yeye kaboresha matumizi ya nguvu kupita kiasi!
4. KENNEDY MUSONDA
Hakuna mchezaji niliyekuwa nikimkubali na kumpenda kama huyu Musonda,lakini Ujio wa Gamondi umeua kiwango Chake kabisa!
Nadhani ni muda muafaka kuachana naye ili akayaanze maisha mapya sehemu nyingine,TP Mazembe walimuhitaji sana jamaa sema ndiyo hivyo wamefungiwa kufanya usajili lakini naamini wakifunguliwa bado atakuwa na nafasi ya kwenda huko na kufanya vizuri!
Baada ya hiyo safisha safisha ya wachezaji hao,tutapaswa kufanya usajili wa wachezaji wafuatao;
1. Goli kipa wa ziada mwenye uzoefu mkubwa kutoka nje
2. Beki namba 2 mwenye uzoefu mkubwa kutoka ndani
3. Beki namba 3 mwenye uzoefu mkubwa kutoka nje
4. Beki namba 5 mwenye uzoefu mkubwa kutoka ndani
5. Kiungo mkabaji
Alikamwe najua upo humu na unapitia hili Jukwaa,tafadhali lichukue kama lilivyo umuonyeshe Hersi!
Tarehe 26 ni siku ambayo timu yangu ya Yanga unakwenda Kucheza mechi ya kwanza ya michuano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya Al Hilal Omdurman,siku hii naelewa kabisa Yanga atafungwa si chini ya Goli 3 na ndiyo siku ambayo kocha Gamondi anaenda kutimuliwa rasmi!
Binafsi nilionya sana na nikapendekeza ya kwamba,baada ya kipigo Cha goli 3 kutoka Kwa walina Asali wa Tabora,ilipaswa Kocha Gamondi asikanyage tena Avic town,ilipaswa abebwe kwenye Guta na mabegi yake arudishwe kwao!
Kwakuwa mmejifanya kichwa ngumu na kuendelea kumuamini kocha ambaye mbinu zimemuishia,naamini hiyo Tarehe 26 mtatafutana pale Taifa!
Siku hiyo mtakapoamua kumfurusha Gamondi baada ya kipigo Cha aibu kutoka Kwa Al Hilal naomba na wachezaji wafuatao wasirudi Avic town,tena wakati wa kwenda Taifa waende na virago vyao wakiwa tayari Kwa safari!
1. AZIZ Ki
Huyu jamaa kwasasa hapaswi kabisa kuvaa kitu chochote chenye nembo ya Yanga !
Tulimng'ang'ania Kwa nguvu zote akaongeza mkataba Kwa gharama kubwa lakini anachokifanya uwanjani akiendani na malipo anayopewa!,Pesa anayolipwa ni heri akaongezewa mshahara Maxi Mpira Nzengeli
Yeye aende akavute shisha vizuri huko Burkinafaso na ikiwezekana aondoke na Malaya wake Hamisa!
Msipomtimua siku hiyo basi Hersi ajiandae kuiachia timu,hatuwezi kuvumilia huu ujinga Kwa wachezaji wasiokuwa na nidhamu halafu mkawachekea tu!
Ronaldo umri umeenda lakini pumzi aliyonayo Huwezi linganisha na hizi takataka kwasababu jamaa ana nidhamu binafsi na amejiweka kando na mambo ya kijinga!
Mbona kabla ya kuongezea mshahara hakuwahi kufanya huu ujinga?,chezaji gani kila siku lenyewe ni klabu tu kuelewa na kuvuta shisha?
2. CHADRACK BOKA
Huyu siku hiyo ya mechi pia anapaswa kwenda na Virago vyake Taifa,baada ya kipigo apandishwe Lori linaloelekea Tunduma,akifika Tunduma apandishwe gari la Sumbawanga hadi Kabwe,akifika Kabwe apandishwe mtumbwi kuelekea kwao Congo
Hatuwezi Kuwa na Mchezaji anachojua yeye ni mbio tu na siyo tekniki za mpira,huyu jamaa kipaji Chake siyo mpira Bali ni riadha,huku kwenye Mpira kavamia tu,kwenye riadha angefanya vema zaidi kuliko huku kwenye kabumbu!
Nitashangaa sana siku hiyo akiondoka Gamondi na huyu akibaki,nitashangaa sana!
3. KHALID AUCHO
Huyu yeye kwakuwa hapo Uganda ni Jirani,ni vema nae siku hiyo akaja na furushi lake la Virago kwasababu baada ya mechi inapaswa apandishwe Lori linaloelekea Uganda kupitia Mutukula!,hapaswi kupanda ndege kwasababu itakuwa ni uharibifu wa rasilimali fedha!
Hatuwezi Kuwa na Mchezaji ambaye anatumia nguvu nyingi kuliko Akili,kila uchwao anapokuwa kiwanjani badala ya Kuwa mfano Kwa wachezaji wenzie yeye anajifanya mwehu!,kama anazo nguvu ni vema akaenda Kucheza mieleka na kina John Cena lakini kwenye Mpira hizo nguvu hatuzihitaji!
Badala aboreshe kiwango Chake,yeye kaboresha matumizi ya nguvu kupita kiasi!
4. KENNEDY MUSONDA
Hakuna mchezaji niliyekuwa nikimkubali na kumpenda kama huyu Musonda,lakini Ujio wa Gamondi umeua kiwango Chake kabisa!
Nadhani ni muda muafaka kuachana naye ili akayaanze maisha mapya sehemu nyingine,TP Mazembe walimuhitaji sana jamaa sema ndiyo hivyo wamefungiwa kufanya usajili lakini naamini wakifunguliwa bado atakuwa na nafasi ya kwenda huko na kufanya vizuri!
Baada ya hiyo safisha safisha ya wachezaji hao,tutapaswa kufanya usajili wa wachezaji wafuatao;
1. Goli kipa wa ziada mwenye uzoefu mkubwa kutoka nje
2. Beki namba 2 mwenye uzoefu mkubwa kutoka ndani
3. Beki namba 3 mwenye uzoefu mkubwa kutoka nje
4. Beki namba 5 mwenye uzoefu mkubwa kutoka ndani
5. Kiungo mkabaji
Alikamwe najua upo humu na unapitia hili Jukwaa,tafadhali lichukue kama lilivyo umuonyeshe Hersi!