Al Hilal nayo yamtaka Messi kwa mabilioni ya pesa

Al Hilal nayo yamtaka Messi kwa mabilioni ya pesa

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Mkataba wa Leo Messi wa PSG unamalizika 2023 na huko Saudi Arabia, wanamtaka akajaribu bahati yake huko mara moja. Hata kabla ya mkataba wake kuisha.

Kama Al Nassr alivyofanya na Cristiano Ronaldo, Al Hilal sasa wanataka kumpa Messi pesa nyingi. Kulingana na 'Mundo Deportivo', klabu hiyo itampa euro milioni 278 kwa msimu.

Be Soccer
 
Huna akili

Messi ame renew mkataba na PSG hadi 2024 na option ya kuongeza hadi 2025

Uko uswekeni ataenda ronaldo tu
 
Mkataba wa Leo Messi wa PSG unamalizika 2023 na huko Saudi Arabia, wanamtaka akajaribu bahati yake huko mara moja. Hata kabla ya mkataba wake kuisha.

Kama Al Nassr alivyofanya na Cristiano Ronaldo, Al Hilal sasa wanataka kumpa Messi pesa nyingi. Kulingana na 'Mundo Deportivo', klabu hiyo itampa euro milioni 278 kwa msimu.

Be Soccer
Sizani kama ni kweli
 
Back
Top Bottom